Rais Samia, mbona kila unaloagiza watendaji wakuu wanakugomea?

Kuna kitu hakika Sawa.. ..km cheti cha form four kina jina linaloendana na vyeti vingine shida iko wapi wapi?
kwa kuwa aliajiliwa kwa vyeti vya huyo alieuza jina na jina jina la kazini alipaswa atumie la huyo unless akasepa mahakamani kubadili jina.
Kwa umri unaosema yaani mtu wa miaka 58 suala la vyeti vya kuzaliwa haikuwa lazima....
Kuna ambao wengi wapo wa dizain hiyo bado wanafanya kazi....
Mkuu hii story yako imenikumbusha hadithi ya Daktari bingwa mmoja wa upasuaji kule Morogoro ambaye alikumbwa na kadhia hii akiwa amebakiza miaka 2 kustaafu. Walio saidiwa wao au ndugu zao kuokolewa maisha walilia sana utadhani ni baba yao mzazi.
Huyu daktari kijijini kwao alifaulu mtoto mmoja tuu kwenda sekondari wakati huo lakini wenye mtoto walikuwa hawakutaka mtotowao akasome maana kazi za Shamba hawakuwa na mtu. Wakamuuzia mtoto mwingine nafasi.
Ndio huyo Dokta, akasoma elimu zote kwa juhudi zake hapa nchini hadi Urusi na kuwa bingwa wa upasuaji.
Kafanya kazi kwa juhudi na uadilifu mkubwa sana lakini 2 years before retirement anaonekana kuna utata kwenye majina na ni daktari fake hivyo kazi hakuna na mafao hakuna! Hata ile michango yake ya akiba ya uzeeni hakuna.
Is it fair kweli? Kaokoa maisha ya watanzania wangapi? Kwani huko alikokuwa anasoma alikuwa anasomewa na mwingine? Zoezi lile halikuwa sahihi
 
Mkuu umeandika nilichokuwa nakifikiria inaonekana kuna shida sehemu na itoshe tu kusema kwamba mama Samia hana uhuru na mamlaka yake ya urais na kwa hali hiyo inawezekana kuna watu aidha wanamfosi afanye wanachotaka au labda anasalitiwa na washauri wake.

Bila shaka hayo uliyosema na hili la Mbowe (kubambikiwa kesi ya ugaidi na mauaji ya viongozi wa serikali) yanamuumiza mno Rais tukizingatia mwanzo wa uongozi wake ulivyokuwa.

Ndugai,Madelu na Gwajiboy ni miongoni mwa waliojitokeza wazi kumpinga Rais Samia.
Wake up mama watakumaliza kisiasa kumbuka na wewe umeingizwa kwenye kundi la Petty Dictator of the 21st Century na usipobadilika zile dua mbaya zitaanza kuombwa dhidi yako (Mungu aepushie mbali.)

Na kama huwezi kusimamia unachokiamini au unaona husikilizwi na wasaidizi wako basi WATUMBUE au waachie wengine wakae hapo KWA KITI, usije bebeshwa madhambi ya watu bureeee maana huku mtaani watu washaanza kuona bora ya Jiwe ( japo alikuwa muonevu kuliko wewe) kwa mikodi ya ajabu na ukiwaambia wasaidizi wako warekebishe hawajali chochote badala yake utasikia hamieni Burundi au leteni ushauri tufanyeje dadeki huko bungeni hakuna wenye uwezo kiakili kujua kwamba hii kodi ya miamala itaumiza walalahoi?
 
Kauli za viongozi kama Mwigulu, Ndugai na Mbunge Gwajima ziko wazi kabisa hawakubaliani na wewe katika yale unayo agiza.

Sio hayo ya miamala na chanjo za corona pekee, lakini kuna jingine kubwa mno ambalo Watumishi waathirika na zoezi la vyeti wanakutazama kwa mshangao.

Ulitoa agizo kuwa watumishi walio ondolewa kazini kwa matatizo ya majina na vyeti ambao walikuwa wanakatwa fedha kupelekwa kwenye mifuko ya jamii walipwe pesa zao kwani ni jasho lao na serikali sio ya kudhulumu haki za watu.

Ulisisitiza hilo ni AGIZO. Lakini watendaji kama kawaida yao Wamedharau na hawajawalipa na wakihoji wanakejeliwa.

Kwa nini wanakudharau namna hii?

Au kwa vile serikali iliyopo hukuiunda wewe bali umeipinduapindua tu?

This is 2021, na hadi 2025 ni mbali mno na utaona ugumu wa kubaki na hawa watu wa mwendazake!
Nae Hana nia NNE.a

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Kauli za viongozi kama Mwigulu, Ndugai na Mbunge Gwajima ziko wazi kabisa hawakubaliani na wewe katika yale unayo agiza.

Sio hayo ya miamala na chanjo za corona pekee, lakini kuna jingine kubwa mno ambalo Watumishi waathirika na zoezi la vyeti wanakutazama kwa mshangao.

Ulitoa agizo kuwa watumishi walio ondolewa kazini kwa matatizo ya majina na vyeti ambao walikuwa wanakatwa fedha kupelekwa kwenye mifuko ya jamii walipwe pesa zao kwani ni jasho lao na serikali sio ya kudhulumu haki za watu.

Ulisisitiza hilo ni AGIZO. Lakini watendaji kama kawaida yao Wamedharau na hawajawalipa na wakihoji wanakejeliwa.

Kwa nini wanakudharau namna hii?

Au kwa vile serikali iliyopo hukuiunda wewe bali umeipinduapindua tu?

This is 2021, na hadi 2025 ni mbali mno na utaona ugumu wa kubaki na hawa watu wa mwendazake!
Kwani Gwajima ni mtumishi wa Serikali? Gwaji boy ni mwenzetu wacha amchachafye mama alochukua fedha za watu za corona sasa anatuletea chanjo feki
 
Back
Top Bottom