Wanafuata nyayo, baada ya kuona Hangaya ni bi safari.
Mkuu vipi umemhama mwenyekiti wetu kwa kuwa Rais JPM hatunaye tena ?!!!

Nchi ipo mkuu.....
CCM ipo hata baada ya utawala wa awamu ya 6 mkuu......

#Siempre CCM🙏
 
Rais hutakiwi kuonyesha huna confidence na watu uliowateua mwenyewe hata wiki haijapita..

Mkutano wa leo kwa nchi za wenzetu wanachofanya ni Rais kutueleza track record na sifa za kila mteule zilizofanya akamteua.

Huyu kwa kwetu mswahiliiiiii… anawaambia kila mtu ana uwezo tofauti, kila mtu ajue mahala pake, msigombanie mlo, na nitawawekea babu Ikulu wa kuwa monitor….
 
Mkuu vipi umemhama mwenyekiti wetu kwa kuwa Rais JPM hatunaye tena ?!!!

Nchi ipo mkuu.....
CCM ipo hata baada ya utawala wa awamu ya 6 mkuu......

#Siempre CCM🙏
Nchi Kwanza.

Ila CCM mbele kwa mbele,mpaka mbadala wake upatikane Ila Sasa bado.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Rais hutakiwi kuonyesha huna confidence na watu uliowateua mwenyewe hata wiki haijapita..

Mkutano wa leo kwa nchi za wenzetu wanachofanya ni Rais kutueleza track record na sifa za kila mteule zilizofanya akamteua.

Huyu kwa kwetu mswahiliiiiii… anawaambia kila mtu ana uwezo tofauti, kila mtu ajue mahala pake, msigombanie mlo, na nitawawekea babu Ikulu wa kuwa monitor….
Kawawekea mentor sio monitor
 
Rais Samia analalamika kuwa Wateule wake hakuna hata mmoja anayepikika chungu kimoja na mwenzie, achilia mbali kuiva chungu kimoja! Yaani ni kwa moto balaa.... Mkitumaliza sisi!!!!!

"Sijui mna maradhi gani ndugu zangu, Waziri na Naibu Waziri hawaelewani, Waziri na Katibu Mkuu mambo mbalimbali, hili mimi silielewi kwa sababu kila mtu yuko pale kwa 'qualifications' zake na ameonekana anaaminika na anaweza kufanya ile kazi,"-Rais Samia Suhuhu Hassan https://t.co/Ln48z1UdGF
 
Unakuta Waziri anaanza Safari Dodoma-Tabora-Katavi-Rukwa-Songwe-Mbeya-Iringa-Morogoro-Pwani-Dar then anarejea Dodoma baada ya wiki 3 za Per diems

Waziri anaegombania perdiem ya 120,000 atakua mchovu sana huyo,.....

Ni ela ndogo sana hiyo ya kumfanya waziri azurure barabarani.....

Mawaziri wanakimbilia safar zenye madili, sio kwakua ina perdiem....

Mimi mwenyewe taasisi ninayofanya kazi nina safiri sana, ninachoka sana, kiasi kwamba safari nazikimbia, tena kwa visingizio vya kuumwa ili nisisafiri.
 

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Mawaziri wasiwe na ugomvi na Manaibu Waziri kwa kuwa kila mmoja ameteuliwa kwa vigezo tofauti. Ametaka kila mtu ajue nafasi yake.

Amesema mara nyingi watu hugombana kwa sababu ya safari na maslahi ambayo mara nyingine huwa ni maslahi ya wananchi.

Rais amesema amewahi kuwa Waziri na hakuwahi kuwa na ugomvi na Naibu wake kwa kuwa alikuwa anajua nafasi yake.
Ila jamani tuwe wakweli, per diems & transport allowances huwa zina utamu wake. Zinapunguza sana "financial stresses" kwani humfanya mnufaika kupata ziada zaidi ya wale waliobakia ofisini.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Hii yote ni damu ya magufuli inamlilia ipo siku tuu wataropoka kichotokea march17.
 
Back
Top Bottom