"The buck stops here"- President Harry S TrumanUrais ni taasisi ndugu yangu mambo mengine yanafanyika hata yeye "NADHANI" huwa hajui. Rais hasilaumiwe sanaa
Nendeni na Gwajima mkachomwe Chanjo ya Corona sasa.Wasiomuelewa Rais wetu watapata taabu sana
Binafsi namwelewa sana mama anavyojibu au anavyomaza kwa mambo yasiyokua na tija
Acha kazi iendelee
"Vyama vya upinzani vimenyambuka nyambuka "
Gwajiboi na Slowslow wanataka kumpangiaSafi sana Rais wangu
Ifike mahala waache kukupangia hao
Mmefufukia wapi nyieSafi sana Rais wangu
Ifike mahala waache kukupangia hao
Leo katika mahojiano yake na Shirika la Utangazaji BBC yaliyorushwa katika kipindi maalum cha Dira ya Dunia, Mhe. Rais SSH amezungumzia umuhimu wa kukutana na wapinzania...
Uta"Brand" kitu gani katika hali kama hii iliyopo nchini sasa!Kwamba siyo Siasa?
1. Kwa nini wanazuwia watu kwenda mahakamani?
2. Kwanini alikamatwa usiku usiku pamoja na waliokuwa wamepanga kwenda kwenye kongamano la kisiasa?...
Uweupe wenyewe mkorogoAna uzuri gani amekakamaa kama mchongoma au weupe unakutisha swahiba?
Lete katiba ya nchi yoyote duniani ambayo DPP hana mamlaka ya kushtaki na kuondoa kesi mahakamaniYaani unazidi kuonyesha ubovu wa katiba ya sasa! Yaani DPP afute kesi na sababu anayotoa ni kutoona haja ya kuendelea na kesi. Hii ni hatari, maana anaweza kutumika kuvuta muda wa jambo fulani lipite!
Bila kutaja sababu?Lete katiba ya nchi yoyote duniani ambayo DPP hana mamlaka ya kushtaki na kuondoa kesi mahakamani
Na kweli kwa sasa Chadema ni chama kidogo. Kigezo kikatiba ni idadi ya wabunge.Leo katika mahojiano yake na Shirika la Utangazaji BBC yaliyorushwa katika kipindi maalum cha Dira ya Dunia, Mhe. Rais SSH amezungumzia umuhimu wa kukutana na wapinzania...
Na asipodanganya huwa hajisikii poaSifa kuu ya Mwanasiasa ni Uongo.