Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,445
- 7,813
Leo Rais Samia yuko mkoani Geita na ameendelea kusisitiza wembe ni uleule kama awamu iliyopita.
=======
Rais Samia: Awamu iliyopita nilikuwa makamu wa Rais chini ya kaka yangu marehemu John Pombe Magufuli, alinifundisha mambo mengi sana, niliisoma dhamira yake vizuri sana jinsi ya kupeleka nchi hii. Niwahakikishie dhamira ile tunakwenda nayo.
Serikali yetu ya chama cha mapinduzi yeyote anayekaa kuongoza Serikali lengo ni kuhudumia wananchi na kupeleka maendeleo.
=======
Rais Samia: Awamu iliyopita nilikuwa makamu wa Rais chini ya kaka yangu marehemu John Pombe Magufuli, alinifundisha mambo mengi sana, niliisoma dhamira yake vizuri sana jinsi ya kupeleka nchi hii. Niwahakikishie dhamira ile tunakwenda nayo.
Serikali yetu ya chama cha mapinduzi yeyote anayekaa kuongoza Serikali lengo ni kuhudumia wananchi na kupeleka maendeleo.