omtiti
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 1,022
- 1,590
Kuna muda niliwahi kujiuliza kwanini kule Myanmar wanajeshi walimpindua mwana mama Aung San Suu Kyi?. Kumbe Kuna wanawake wakipewa madaraka wanakuwa Vimeo.
Kuna muda niliwahi kujiuliza kwanini kule Myanmar wanajeshi walimpindua mwana mama Aung San Suu Kyi?. Kumbe Kuna wanawake wakipewa madaraka wanakuwa Vimeo.
Sasa mnabishana na SSH ambaye yupo jikoni na Tony Blair kama consultant wake? Nyie vipi?Uingereza awawezi kuweka tozo za ovyo kama hizo.
Yaani mafisadi yamemzunguka mama na kumlisha uongo wa kishamba kweli; mwaka wa kodi U.K. unaanza 1 April baada ya hapo hakuna kodi wala tozo mpya mwaka unaofata.
Budget yetu sisi ni mwezi wa sita na inaanza papo hapo; dah halafu kuna watu wanamtaka mpaka 2030.
Acheni sifa za kijinga, matumizi ya kodi na tozo huko Uingereza yanaweza kuwa haya yenu ya hovyo namna hii? Kwenye maendeleo zinapelekwa pesa kiduchu, asilimia 90 inaenda kwenye ANASA.Akihutubia wananchi mkoani Kilimanjaro mheshimiwa Rais amesema mara baada ya sisi kuanzisha tozo ya kwenye mitandao ya simu ambayo ilipigiwa kelele na wananchi wengi, na Serikali ya Uingereza nayo imeanzisha tozo kama hii.
Kumbe mama anafanya vitu Hadi mataifa yaliyoendelea yanavikubali hadi kuiga.
Tony Blair taasisi yake inashauri mambo ya COVID na good governance; aina uhusiano wowote na mambo ya PR kama mada ya JF inavyodai na taasisi yenyewe ni non profitables organization.Sasa mnabishana na SSH ambaye yupo jikoni na Tony Blair kama consultant wake? Nyie vipi?
Hiyo haifuti ukweli kwamba Tony Blair ni mmoja wa washauri wa mama kwa masuala mbalimbali ikiwemo hiyo COVID!Tony Blair taasisi yake inashauri mambo ya COVID na good governance; aina uhusiano wowote na mambo ya PR kama mada ya JF inavyodai na taasisi yenyewe ni non profitables organization.
Kitu pekee anachoweza fanya kwenye hiyo kazi nje ya majukumu yake ya taasisi kutengeneza mazingira ya U.K interest kwenye nchi zitakazotumia huduma yake. Halafu yeye mwenyewe apokei mshahara kwenye hizo kazi.
Hiyo haifuti ukweli kwamba Tony Blair ni mmoja wa washauri wa mama kwa masuala mbalimbali ikiwemo hiyo COVID!
Akihutubia wananchi mkoani Kilimanjaro mheshimiwa Rais amesema mara baada ya sisi kuanzisha tozo ya kwenye mitandao ya simu ambayo ilipigiwa kelele na wananchi wengi, na Serikali ya Uingereza nayo imeanzisha tozo kama hii.
Kumbe mama anafanya vitu Hadi mataifa yaliyoendelea yanavikubali hadi kuiga.
Nilikuwa nakuonesha kuwa SSH ana mawasiliano ya karibu na waingereza hadi wengine ni washauri wake elekezi. Sasa wewe wa Laela una kipi cha kupinga? Yeye amesema wewe ni nani upinge?Ok haya maswali yako yana uhusiano gani na mada husika?
Ni kweli waingereza wameiga?
Hahahaha
Watanzania tunahitaji Katiba Mpya.
Tozo tata sana
Alisikika mlevi mmoja toka unguja,