Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,756
Unanisemea na mimi ??!!Hatupugi kura bila katiba mpya bora aendelee tu
Usitusemee sote......
#Siempre SSH🙏
Unanisemea na mimi ??!!Hatupugi kura bila katiba mpya bora aendelee tu
😍👏👊Mimi sitaki tume huru wala katiba mpya.
Nataka watu waelimishwe kwanza wajitambue kabla ya kuvipata vyote hivyo.
Hakuna tija ya kuwa na vifaa vipya kabla ya kujifunza kwanza kuvitumia.
Tuondoane ujinga kwanza ndio twende huko.
Tume huru ni mwanzo wa migogoro na machafuko barani afrika.....Katiba mpya ataacha kuabudiwa
Rais Samia kauliza swali zuri sana!
Katiba mpya ndio kila kitu.
Poleni Watz... Mwenyekiti wa CCM na Rais wa sasa,wakati wa Bunge la Katiba naona labda alijiridhisha kwamba wananchi Tz, hawataki Katiba mpya bali wanachotaka ni maji, chakula nk..... hahahahaaaa...Katiba Mpya ni muarobaini wa matatizo menig likiwemo la kuwa na Uchaguzi halali utakaopatikana tu kama kuna TUME HURU YA UCHAGUZI!! Sasa kwanini SSH na handlers wake wanaiogopa Katiba Mpya hata kama sio kila kitu?
Kwani akiachia tume huru tatizo ni nini?
Poleni Watz... Mwenyekiti wa CCM na Rais wa sasa,wakati wa Bunge la Katiba naona labda alijiridhisha kwamba wananchi Tz, hawataki Katiba mpya bali wanachotaka ni maji, chakula nk..... hahahahaaaa...
Anajua kitakachomtokea Ref usemi wa Polepole na BashiruKwani akiachia tume huru tatizo ni nini?
Kwanza wananjaa sana. Hizo akili za kujadili siasa wanazitoa wapi.Kaongea Ukweli. Maana Kama Ni Uongo CCM ingekuwa ishatoka Madarakani. Watanzania wengi ni Mbumbumbu kwenye Siasa
Waliotoa maoni ya Katiba ya Warioba walikuwa kutoka Kenya??Mimi sitaki tume huru wala katiba mpya.
Nataka watu waelimishwe kwanza wajitambue kabla ya kuvipata vyote hivyo.
Hakuna tija ya kuwa na vifaa vipya kabla ya kujifunza kwanza kuvitumia.
Tuondoane ujinga kwanza ndio twende huko.
Hakuna swali zuri hapo, Ni kufail kwa thinking capacity, làbda kwa nyinyi wenye vichwa vya panzi.Rais Samia kauliza swali zuri sana!
Katiba mpya ndio kila kitu.
Kwani hapa aliyeshinda hatangazwi?Hakuna swali zuri hapo, Ni kufail kwa thinking capacity, làbda kwa nyinyi wenye vichwa vya panzi.
Yaliyotokea kwetu 2019 na 2020 hayawezi kutokea Kenya, Ghana and the like countries. Aliyeshinda anatangazwa, ni hicho tu what is to be realised at the end of the day. Na ili upate hicho lazima kuwe na tume HURU ndani ya Katiba which is derived from all stakeholders ie it catters for all citizens interests
Naunga mkono hojaRais Samia akiwa anapokea ripoti ya kikosi kazi alichounda ameongelea Tume huru ya uchaguzi na kuhoji uwepo wa kuendelea migogoro kwenye nchi za jirani zinazotajwa kuwa na tume huru.
Rais Samia ametaka kujua 'Definition' ya tume huru na ipi kiu itakayopatikana kwenye tume huru.
======
Samia Suluhu: Tume huru hizo na nini mtatulete mapendekezo, tume huru maana yake nini!
Iweje? Lakini angalieni na mifano ya waliokuwa na tume huru, Je hawana migogoro ya kisiasa? The so called 'Tume Huru'.
Kwa mfano majirani zetu wanazo The so called 'Tume Huru' lakini zinaendeshwaje? Hawana migogoro? Hawatangazi matokeo wakakimbia nchi kabisa?
Si hutangaza matokeo kisha wakakimbia! Nendeni nchi mbalimbali zenye hizo zinazoitwa tume huru, angalieni yanaendaje lakini tunaposema tume huru tunafata nini hasa huko kwenye tume huru.
Kitu gani kinatupa kiu tunahisi tutakipata kwenye tume huru huko na definition hasa ya tume huru ni nini?
===
Kuhusu maboresho ya sheria na kanuni za Uchaguzi, Rais Samia amesema watasema vipengele gani vinavyouma kwani inawezekana maboresho yakifanyika, kelele ya katiba inaweza ikaishia kwasababu zile kiu za watu zinapotaka katiba ibadilishwe ilishafanyiwa kazi.
PIA, Soma=> Ikulu, Dar es Salaam: Rais Samia apokea taarifa ya Kikosi Kazi cha Kuratibu Maoni ya wadau wa Demokrasia ya Vyama vingi vya Siasa
Tunayo Tume huru?Sasa kama tume huru haizuii migogoro, si aiondoe kabisa, kwa nini tunayo?
Tume huru ndizo zinasababisha migogoro?
Hao majirani zetu kweli wana tume huru?
Tunayo Tume huru?