Kwani ile task force iliyokua inakwapua fedha za watu kwenye account na maduka ya kubadilishia fedha za kigeni ilianza kutoa elimu kwanza.Mimi sitaki tume huru wala katiba mpya.
Nataka watu waelimishwe kwanza wajitambue kabla ya kuvipata vyote hivyo.
Hakuna tija ya kuwa na vifaa vipya kabla ya kujifunza kwanza kuvitumia.
Tuondoane ujinga kwanza ndio twende huko.
Ukweli ni kuwa kwa tume hii ambayo ni favourable kwa CCM hawawezi ikubali ibadilishwe imagine yule Mahera kada wa CCM ndio mkurugenzi wa tume na bila aibu mnamleta awe mgeni rasmi wa hiyo TCD.
Ndio maana hata Bashiru alikua bold enough kusema watashinda uchaguzi 2020 kwa msaada wa dola na ndio kilichotokea mkasema mmeshinda kwa kishindo na matokeo yoyote ya ngazi hiyo mmeyapiga ban kutohojiwa kortini.
There is no any means for CCM to sanitize the evils of the current regime.