Rais Samia leo kafanya kosa kubwa sana. Huwa hatukunjui makucha kwa waliotukosea

Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivyo ndivyo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndio unafanya severe atacks.

Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivyosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndio anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.

Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayari ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.

Hafidh Ameir amejitahid kumshauri maza, ila maza hamsikilizi hata kidogo.​

 
Sisi wabunge sio wateule wa Rais tumetumwa na wananchi. TUSITISHANE labda aitishe uchaguzi nchi nzima ili atutoe kwenye kura za maoni kwa kuwatumia wajumbe.

Atajua Hajui
 
Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivyo ndivyo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndio unafanya severe atacks.

Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivyosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndio anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.

Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayari ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.
Wewe unajuaje kama bado hajajaa kwenye comfort zone?do you have all information kuliko wasaidzi wa Raisi?
 
tatizo mnashindwa kupambanua Boga na Tango.
Kiufahamu tabia za kike na zakiume ni tofauti ,kwa ikilivyo Raisi Samia yupo sahihi kabisa,wenyewe wanasema amempa makavu makavu,amempasha ,aafu sku izi wamama wanatabia wakikasirika wanakamata machuchu na kuyainua kwa pamoja,zamani walikuwa wanajifunga na kukaza kibwewe wasku izi ndio hio ya kuyainua machuchu kama wanaopania .
Warume tukubali wammama huu ni utawala wao na style za kupandisha hasila kikawaida zipo nje nje.
 
Mama akitangaza mabadiliko ya baraza watakao kuwemo watakuwa nahofu tu na uoga then hata kazi watafanya kwa uoga uoga na watakuwa wana waogopa wanao thani ni marafiki wa mama popote walipo iwe serikalini ama nje ya serikali.

Akitaka kaziiendelee awape nguvu watendajiwake kama alivyo fanya hayati iliwamsaidie kikamilifu kudhibiti ufisadi na kujenga nchi.
 
Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivyo ndivyo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndio unafanya severe atacks.

Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivyosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndio anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.

Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayari ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.
Sikia kila mtu ana plan zake na usije kujidanganya kuwa maza hajui afanyali,ashaplan kila kitu,we subiri matokeo

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Mama awe mtulivu na hao wanaomshauri awaangalie kwa karibu.
 
Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivyosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndio anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.


Ukiwa soft na kumsamehe hadharani halafu baadaye ukamuattack hakika huo sio uungwana. Ni moja kati ya haya mambo mawili tu yalipaswa kufanywa; 1--- kumsamehe mazima na kumuweka under surveillance, 2---- Kumkaanga mazima baada ya kuangalia historia ya mwenendo wake hapo kabla, ni hii njia ndio Mama kaifuata.

Ndugaye sio mtu aliyefaa kuwa Spika jinsi Magufuli hakufaa kuwa raisi.
 
Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivyo ndivyo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndio unafanya severe atacks.

Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivyosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndio anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.

Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayari ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.
Kumbe bado inanyesha. Ina maana bado hatujajua panapovuja tubazibe?
 
Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivyo ndivyo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndio unafanya severe atacks.

Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivyosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndio anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.

Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayari ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.
Ndugai ananguvu gani bana
 
Kwa hali ilivyo Spika Ndugai akiendelea kuwa na Uspika kwa masaa mengine 48 atakuwa hasomi alama za nyakati.. Mkuu wa nchi akishakosa imani na wewe unapaswa kujiuzulu..
Asipojiuzulu atalazimishwa kujiuzulu.. Hadhi ya Rais wa nchi ni muhimu kuliko maisha ya mtu..:cool:
Ampishe SSH aendelee na kazi..
Huu ni wakati wa SSH ' to put her house in order'.. katika uongozi wa nchi hakuna kitu muhimu kama 'Loyalty'..
 
Tatizo intelijensia. Mnasahau intelijensia. Mipango mingi ipo wazi, wazi sana ila inawekwa wazi kwamba ipo wazi kwa kuchekewa baada ya udhibiti.
 
Leo Samia amefanya kosa kubwa sana kwa kitendo chake cha kujibu mashambulizi kwa Ndugai.

Hii mbungi ya Ndugai ndo ilikuwa chance kubwa ya mama kuwajua maadui zake kwa kirefu.

Mama angepaswa kuwa soft kabisa kwa siku ya leo. Na ingependeza kama angeanza kumshukuru kwa dhati Ndugai kwa kuomba msamaha.

Imagine kama angeongea haya maneno leo "Namshukuru sana kaka yangu Ndugai kwa kuonesha ukomavu na kurekebisha kauli yako ili tuendelee kujenga taifa la umoja na mshikamano"

Hivyo ndivyo mama angepaswa kusikika leo. Diplomatically and soft tone. Hii ingemfanya hata Ndugai aone kama amesamehewa kirahisi.

Hiyo maana yake ni kumpa adui false signal, halafu sasa akishajaa kwenye comfort zone, ndio unafanya severe atacks.

Kwa case kama hii, Samia amgeweza kuwa soft sana kama nilivyosema hapo mwanzo halafu baada ya kama wiki mbili au tatu mambo yakishapoa, ndio anafanya fujo za kuvunja baraza la mawaziri ikifuatiwa na taratibu za Ndugai kuvuliwa u spika.

Sasa kwa hii move ya kukunjua makucha asubuhi na mapema, maana yake ni kama ametangaza vita wazi wazi na kambi ya kina Ndugai kitu ambacho kwangu mimi tayari ni udhaifu kwa sababu sasa Ndugai ni kama naye hawezi kutulia tu hivi abondwe, lazima atataka kujibu mashambulizi na kurejesha nguvu yake hata ingekuwa mimi.
Kwa uhakika mpaka mtu anatoka hazarani na kumshambulia Bosi wake ni kuwa alianzia Mbali, na chama,serikali ni taasisi Ndogo ambazo unaweza kufanya utafiti kwa muda Mdogo na kuwajua wote, Rais amekua kwenye hizo taasisi kwa muda wa kutosha anawajua kwa asilimia kubwa, kuwasema hazarani ni pigo Kubwa kwa ambao wako kinyume naye, Na kwa hali ilivyo hapakua na wala hakuna sababu ya kumshambulia na kumsema Rais ambaye amekua kwenye madaraka kwa chini ya Mwaka lakini akipitia changamoto Kubwa za ndani na za kimataifa, Mpaka sasa ameonyesha ni Kiongozi bora kuliko wote waliopita. Jamii isiyo na utaratibu ni jamii mfu, kuna utaratibu ambao ni katiba ufuatwe. na maamuzi ya Wananchi yaheshimiwe na kufuatwa.
 
Back
Top Bottom