Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,204
- 4,692
Wasau wa JF,
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan leo Juni 03 amepokea ujumbe maalumu kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Rwanda Mheshimiwa Paulo Kagame.
Katika ujumbe huo uliowasilishwa na Mjumbe maalumu Vincent Biruta ,Rais Kagame alitoa pole kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli , alimpongeza kwa kupokea kijiti cha Urais na pia alimuhakikishia kuwa Rwanda itaimarisha ushirikiano na Tanzania
Kazi Iendelee.
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan leo Juni 03 amepokea ujumbe maalumu kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Rwanda Mheshimiwa Paulo Kagame.
Katika ujumbe huo uliowasilishwa na Mjumbe maalumu Vincent Biruta ,Rais Kagame alitoa pole kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli , alimpongeza kwa kupokea kijiti cha Urais na pia alimuhakikishia kuwa Rwanda itaimarisha ushirikiano na Tanzania
Kazi Iendelee.