Rais Samia kwenye hili la ajira mpya umeturudisha nyuma alipotuachia Hayati Magufuli

Rais Magufuli wakati wa kampeni alahidi kutoa ajira milioni 8, pia aliyekuwa kaimu waziri wa fedha kipindi cha Magufuli (Wakati Dk. Mpango akiwa anaumwa) Mwigulu Nchemba akisoma mpano wa bajeti ya 2020/2021 mwezi Februari alisema watatoa ajira milioni 12, iweje sasa Samia anatoa ajira elfu 40 pekee? kwa spidi hii hata kama miaka 5 ikipita hatutafikia hata ajira laki 2

View attachment 1770907
Mlizoea kudanganywa huyo siyo wa hivyo
 
Halafu alikuwa Ana kauli mbiu yake eti msema kweli mpenzi wa Mungu....kumbe urongo mtupu
Mwendazake alikuwa anaishi kwenye FAKE world. Alipo pata FAKE PhD akaamua adanganye kila kitu.

Hakuna kitu Magufuli ambacho alikifanya au kukiwasilisha kama kilivyo.

Naamini JPM siyo mtoto wa Magufuli, atakuwa alitufanganya kama kawaida yake.
 
Serikali haiaminiki

Mwanasiasa hana future nzuri na watu wake.

Kila mmoja ana taarifa zake binafsi za ajira na hazitekelezeki.

Mara mjitolee mara ajira elfu 40!

Dah, sitaki kusikia ajira tena napambana kivyangu.

FB_IMG_1620019410007.jpg
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Trust me hata hayo maisha yako unayotaka kuyaishi pia sio yako.

Yani hii dunia lengo lake ni kutuona tunakuwa wendawazimu huko barabarani hakyamama tena
Best alternative ni kuwa mpole uanzie chini kisha lenga kufika kule juu walipo wanaopanga hizo ajira kisha kula maisha.

Tafuta Power na Pesa kwa namna yoyote hakuna atakayekusumbua kichwa. Ulimwengu unaendeshwa na watu wenye nguvu, pambana kuwa mmoja wao kisha ishi kibingwa. Ila ukisubiri hao wenye nguvu wakuonee huruma wewe, utaumia sana na hiki ndicho kinawatokea wengi.

Hakuna mwenye time na maisha yako kila mwanadamu ni selfish na anaangalia maisha yake kwanza.

Wahenga walitudanganya aliye juu mngoje chini sasa ili iweje?? Ubaki naye hapo chini??

Aliye juu mfuate hukohuko, chonga ngazi zako panda mfikie sema naye
 
Rais Magufuli wakati wa kampeni alahidi kutoa ajira milioni 8, pia aliyekuwa kaimu waziri wa fedha kipindi cha Magufuli (Wakati Dk. Mpango akiwa anaumwa) Mwigulu Nchemba akisoma mpano wa bajeti ya 2020/2021 mwezi Februari alisema watatoa ajira milioni 12, iweje sasa Samia anatoa ajira elfu 40 pekee? kwa spidi hii hata kama miaka 5 ikipita hatutafikia hata ajira laki 2

View attachment 1770907
Hizo ajira ni pamoja na Private Sector. Sio Public pekee.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Best alternative ni kuwa mpole uanzie chini kisha lenga kufika kule juu walipo wanaopanga hizo ajira kisha kula maisha.

Tafuta Power na Pesa kwa namna yoyote hakuna atakayekusumbua kichwa. Ulimwengu unaendeshwa na watu wenye nguvu, pambana kuwa mmoja wao kisha ishi kibingwa. Ila ukisubiri hao wenye nguvu wakuonee huruma wewe, utaumia sana na hiki ndicho kinawatokea wengi.

Hakuna mwenye time na maisha yako kila mwanadamu ni selfish na anaangalia maisha yake kwanza.

Wahenga walitudanganya aliye juu mngoje chini sasa ili iweje?? Ubaki naye hapo chini??

Aliye juu mfuate hukohuko, chonga ngazi zako panda mfikie sema naye
🤛🤛🤛🤛
 
Rais Magufuli wakati wa kampeni alahidi kutoa ajira milioni 8, pia aliyekuwa kaimu waziri wa fedha kipindi cha Magufuli (Wakati Dk. Mpango akiwa anaumwa) Mwigulu Nchemba akisoma mpano wa bajeti ya 2020/2021 mwezi Februari alisema watatoa ajira milioni 12, iweje sasa Samia anatoa ajira elfu 40 pekee? kwa spidi hii hata kama miaka 5 ikipita hatutafikia hata ajira laki 2

View attachment 1770907
Kikiumana utaiwaza tu
 
Back
Top Bottom