Wewe hukuwa unamuelewa au ni kuamua tu...Magufuli alikuwa anapinga chanjo. Pia alikuwa akipiga vita uvaaji wa barakoa, yeye akiziita "mabarakoa."
..Na alizua kwamba kuna Watz wamekwenda nje ya nchi kuchanja wamerudi nchini na kuanza kutuambukiza.
..Sasa dunia inaweza vipi kukubaliana na kiongozi mwenye mitizamo ya ajabu-ajabu kama Magufuli?
JPM hakupinga barakoa ila alipinga barakoa za nje na kupendekeza watu wajishonee.
Chanjo hakupinga ila alitahadharisha kupewa chanjo Bila kujiridhisha,ndiyo maana akaunda kamati ya Corona juu ya chanjo ipi itafaa kulingana na mazingira yetu.
Alisema kweli wanapochanjwa ndo Corona inaongezeka,waulize Rwanda,Uganda yanayowapata.