Maneno Meier
JF-Expert Member
- May 12, 2013
- 2,469
- 1,697
- Thread starter
- #41
Wenyewe ndiyo akina nani? Mungu wa Ancient Kemet (Misri)?Ngoja wenyewe waje
Wenyewe ndiyo akina nani? Mungu wa Ancient Kemet (Misri)?Ngoja wenyewe waje
Wewe nafikir umekuwa Brain washed na elimu fake ya wazungu kiasi kwamba hata unashindwa kujitambua. Ungejua thamani yako katika ulimwengu huu, nadhani usinge sema maneno kama hayo. Shame on you!Ule mkutano haukuwa kwa ajili ya kunadi nchi wala kuelezea matatizo binafsi ya nchi bali global agenda..
Kuna majukwaa mengi ya hivyo Kama Davos nk
Kwani sasa hivi hatuna balozi kwenye baraza la UN? Of course tunaye, ila asikiki kama zamani Salim Ahmed Salim alikuwa.utaongea nn pale kumbuka zamani kulikua na balozi pia
Bado kama serikali tunahoja yakujibu kilichotokea Dodoma kwalisu kijibiweKwani sasa hivi hatuna balozi kwenye baraza la UN? Of course tunaye, ila asikiki kama zamani Salim Ahmed Salim alikuwa.
Swala sio kwamba tuna balozi au hatuna, swala hapa la kulizungumzia ni inakuwaje Rais wa nchi kama Tanzania, nchi ambayo toka kuanzishwa kwake imekuwa mstari wa mbele katika kupigania uhuru wa Afrika na kuwa na kiongozi aliyeiva na siasa ya Mwalim Nyerere anakwenda UN kusalim amri na kuanza kupigia debe kushamiri kwa ubepari ambao sasa umekuwa ni ubeberu duniani? Kweli ni kitu cha ajabu sana na cha kusikitisha.
Nina uhakika mtu kama Hamphrey Polepole, Bashiru Alli, Lukuvi na Prof. Kabudi ndiyo kabisaa wasinge toa speech kama hiyo iliyo tolewa na Rais wetu jukwaani. Haya ni majemedari wa CCM wanao jitambua. Wamepikwa na misingi ya mwasisi wetu kuto surrender!
Siasa za Rais Mstaafu Kikwete ningekuomba achana nazo. Hazitakufikisha mbali. Na wala Rais Kikwete hataingia kwenye records ya watanzania kuwa ni Rais ambaye amefanya mambo makubwa kwa watanzania na nchi yake. Rais Kikwete alijali sana kukutana na wazungu juu kwa juu, kitu ambacho kili wa-cost watanzania maisha yao.
Mama usionyeshe tabia ya kumkana Hayati Rais Magufuli, wewe yaendeleze yake na fanya yako mengine mapya. Tabia ya kumkana Hayati Magufuli inaweza ikaku-cost. Watanzania wengi bado wanampenda sana Magufuli.
Hivi Lissu ni nani kwa watanzania? Huoni kama yeye ni mwuuza nchi? Mtu yeyote anaye shirikiana na mabeberu kutaka madaraka kwa hali na mali, unategemea ntu kama huyo atakuwa na uwezo wa kujitutumua mbele ya wawekezaji wake? Thubutuu! Hataweza fanya chochote zaidi ya kuamua vitu kuwa favour mabwana zake.Bado kama serikali tunahoja yakujibu kilichotokea Dodoma kwalisu kijibiwe
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Ningependa kuongeza kitu kidogo kuhusu mabeberu. Amerika na baadhi ya nchi za Europe ziko kwenye stage ya kufa. Hizo nchi zinatapatapa. Kuiacha system yao ya unyonyaji ili kubadilisha mfumo kwa ajili ya kuokoa jahazi, hiyo hisani hawataweza kuitoa. Wako radhi tuangamie wote.Kwani sasa hivi hatuna balozi kwenye baraza la UN? Of course tunaye, ila asikiki kama zamani Salim Ahmed Salim alikuwa.
Swala sio kwamba tuna balozi au hatuna, swala hapa la kulizungumzia ni inakuwaje Rais wa nchi kama Tanzania, nchi ambayo toka kuanzishwa kwake imekuwa mstari wa mbele katika kupigania uhuru wa Afrika na kuwa na kiongozi aliyeiva na siasa ya Mwalim Nyerere anakwenda UN kusalim amri na kuanza kupigia debe kushamiri kwa ubepari ambao sasa umekuwa ni ubeberu duniani? Kweli ni kitu cha ajabu sana na cha kusikitisha.
Nina uhakika mtu kama Hamphrey Polepole, Bashiru Alli, Lukuvi na Prof. Kabudi ndiyo kabisaa wasinge toa speech kama hiyo iliyo tolewa na Rais wetu jukwaani. Haya ni majemedari ya CCM yanayo jitambua. Wamepikwa na kuiva na misingi ya mwasisi wetu kuto surrender!
Siasa za Rais Mstaafu Kikwete ningekuomba achana nazo. Hazitakufikisha mbali. Na wala Rais Kikwete hataingia kwenye records ya watanzania kuwa ni Rais ambaye amefanya mambo makubwa kwa watanzania na nchi yake. Rais Kikwete alijali sana kukutana na wazungu juu kwa juu, kitu ambacho kili wa-cost watanzania maisha yao.
Mama usionyeshe tabia ya kumkana Hayati Rais Magufuli, wewe yaendeleze yake na fanya yako mengine mapya. Tabia ya kumkana Hayati Magufuli inaweza ikaku-cost. Watanzania wengi bado wanampenda sana Magufuli.
Yaani sijakuelewa unaposema eti Jk hana mambo makubwa aloifanyia nchi hii.Samahani mkuu. Sijajua point yako kwenye kuninukuu huku.
Mbona unacho andika unajisuta mwenyewe? Kwani wakati wa utawala wa Rais Kikwete waziri wake wa ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano wakati ule alikuwa nani? Si hayati Rais Magufuli? Na hilo azimio la kujenga Barabara kwa fedha zetu za ndani, nani alimshauri Rais marehem Mkapa wakati ule? Si huyo huyo hayati Rais Magufuli?Yaani sijakuelewa unaposema eti Jk hana mambo makubwa aloifanyia nchi hii.
Serious!
Kuunganisha lami mikoa yote kiasi leo hii Dar-Mwanza hulazimiki kupitia nchi jirani, kwako ni jambo dogo!
Kuna Rais tokea tupate Uhuru Ameajiri Kama Kikwete? Ilikuwa ukisomea Ualimu tu hata huhitaji kuomba kazi, ukihitimu ni unapangiwa kituo cha kazi tu. Hili kwako ni dogo!!
Watu walifanya siasa mpaka kumtukana, je yupo Rais amewahi kufikia rekodi yake?
Eti unamshauri Mama aendeleze ya Magufuli, yaani aendelee kutoajiri?
Aendeleze utekaji!?
Aendeleze Ukabila na Ukanda!?
Awe katili kama mtangulizi wake!?
Au asipandishe Mishahara na Madaraja kwa Watumishi kama ilivyokuwa 6yrs ago!?