Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 2,874
- 8,681
Hicho kiwanda kilitakiwa kujengwa Tz. Na Kitwanga na marafiki zake ndio waliwaleta Volkswagen bongo ili wakijenge. Shida ilikuja kwenye urasimu na makodi yetu yasiyoeleweka. Ila PK huwa anamashushushu wengi bongo ndio wakawawahi hao watu wa Volkswagen na kilakitu walichokuwa wanataka kama ili wawekeze PK aliwakubalia ndio maana kikajengwa Rwanda. Hizo gari zinaugwa tu na mzigo wote unapitia bandari ya Dar na unasafirishwa kwa malori kuelekea Rwanda.Yale madini ya RDC. Yameanza kuonesha matunda kwa Rwanda
Madini ya RDC yanajenga kiwanda cha simu janja yanajenga kiwanda cha magari Volkswagen
Cc@mng'ato zitto junior
View attachment 1878598
PK ana "watu wake" wanazunguka kwa wafanyabiashara na wawekezaji walioshindwa kuwekeza nchi nyingine na anawashawishi wawekeze Rwanda. Na PK amepunguza kodi huko Rwanda na bado anataka kupunguza kodi zaidi na zaidi na zaidi na zaidi ili watu wawekeze Rwanda. Jamaa anataka Rwanda iwe Duty Free/Tax free ila PK kwenye ujasusi wa kusaka wawekezaji ni mtu mbaya mno. Halafu anafanya maamuzi haraka sana ya kukubali wawekezaji. Ila Pk ni mtu hatari.
Sasa hivi ataanza kutumia wanawake wenye shepu/chura kubwa ili kuwavuta wabongo wawekeze Rwanda.