Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,638
- 8,571
Dogo hiyo ilikuwa Kesi Ndogo ndani ya Kesi Kubwa. Hii Kesi Ndogo ilikuwa kujua kama washtakiwa waliteswa wakiwa mikononi mwa Polisi ama la. Baada ya hukumu ya tarehe 14/12/2021, kesi inarudi Mahakama Kuu ambako kuna Kesi ya Ugaidi ambapo mtuhumiwa ni Mbowe na wenzake. Ushanfahamu?Mbowe wasipomwachia tareh 14 Dec basi nitajua kuwa mama kajiandaa kushindwa.
THE LOST