Uncle Araali
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 943
- 1,256
Kitendo cha Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza ndugu Anthony Diallo kuamua kukisema vibaya chama na viongozi wake ni kitendo kibaya kwa maadili na ustawi wa chama.
Watu wa aina hii wanafanya hivi wakidhani wewe utalinda maslahi yao na kuwa upande wao. Ukweli ni kuwa watu hawa katika utawala uliopita walibanwa kwa sababu ni wanafiki na walihujumu uchumi kwa kukwepa kodi.
Rais, usikubali watu hawa wajiweke karibu na wewe, watakuharibia. Watu aina ya Diallo hawapaswi kuendelea kuwa viongozi wa chama kwa ngazi yoyote.
Nakuamini sana Rais wangu, usikubali kuchezewa na kuwa karibu na mafisadi hawa.
Watu wa aina hii wanafanya hivi wakidhani wewe utalinda maslahi yao na kuwa upande wao. Ukweli ni kuwa watu hawa katika utawala uliopita walibanwa kwa sababu ni wanafiki na walihujumu uchumi kwa kukwepa kodi.
Rais, usikubali watu hawa wajiweke karibu na wewe, watakuharibia. Watu aina ya Diallo hawapaswi kuendelea kuwa viongozi wa chama kwa ngazi yoyote.
Nakuamini sana Rais wangu, usikubali kuchezewa na kuwa karibu na mafisadi hawa.