Huyu aliangaliwa kwa jicho baya!!! Au ndio yule alikuwa RC wa shinyanga?
Una elimu gani ya SIASA?Kwa hiyo amiri jeshi wa Majeshi ya ulinzi na usalama ana mipaka ya mavazi na hatakiwi kuvaa kombati?!!!
Ndiyo mwenyewe huyo bila yeye watu hawatulii kwenye viti pale lumumba
Kama mnawadharau kwanini mnaenda kuwapigia magoti wawasaidie kujaza bakuli la kina matonya?Kwani ni mpaka watu wa ulaya wafanye ndo nasisi tuwaige?..au wasipofanya na sisi tusifanye?
Mbona tunakuwa wapumbavu kiasi hiki?
Ulaya kijana wa kiume anaolewa na kidume na wazazi wanapiga makofi,tuwaige nao pia sio??.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona mtu mweusi ujue shida tu. Apate pesa uone rangi yake halisiwe acha sasa anautaka ujeda
Huyo ni raia tu tena nanga mkubwa tu. Hujui kitu chochote kuhusu jeshi.Kwa hiyo amiri jeshi wa Majeshi ya ulinzi na usalama ana mipaka ya mavazi na hatakiwi kuvaa kombati?!!!
Kinyooongeeeee sana sukuma gangKama hawakuvaa shauri yao... acheni ubavicha
Wenye akili timamu tumekusomaNakuambia jamaa sana sana utamwona MLEVI UHURU akivaa Ngwanda za jeshi
Ha ha ha ha🤣🤣 mdomo mali yako komrediBure kabisa
hata hoja hunaYeye ndio anaweka standard?? Nyie bavicha kweli janga
hata hoja huna
Marais wengi wa US ni wanajeshi hata BIDEN PIA ila ushawahi kumuona kavaa GWANDA AKIWA RAIS.
COLLINS POWELL alitekuwa WAZIRI WA MAMBO ya nje wa USA Alikuwa RTD 4STAR GENERAL.
ushawahi akivaa Sare alipokua waziri wa mambo ya nje?
Same goes to CURRENT waziri wa mambo ya nje wa US NI JENERALI ushawahi kumuona anavaa sare?
Acheni basi huu.UJINGA?
Kwani ilikuwa lazima kwao?Jk ambaye alikuwa KANALI wa JESHI alishawahi kuzivaa akiwa AMIRI JESHI MKUU au Mwinyi au Mkapa?
Huna hoja nyumbu wa mtaa wa ufipa, badala ya kuwashangaa nyumbu wenzako wa chadema kwa kuvaa magwanda ya mgambo unaleta ukiazi wako mbona mtaa wa ufipa mmekuwa viazi sana
mijinga hii tu inawatishaNakubaliana na wewe alikuwa akienda uwanja wa mapambano hata kama siyo mstari wa mbele lkn alikuwa akizivaa wakati yupo kwenye mazingira ya kivita.
ngara ndani ndani saaaaaaaanaHuyo kwao ni Ngara kwa maana kuwa ni mrundi anaye ishi tanzania.
Umeshasema ni amiri Jeshi halafu unayashangaa tu magwanda?!!! Khaaa 😳😳🤣Kazi ya jeshi inapendwa na wengi, licha ya kua amiri jeshi mkuu ila kuvaa magwanda ni ishara ya kutojiamini. Sasa sijui anamuogopa nani, au sijui anamtisha nani? Au ndio mambo ya fashion.
Ila yamempendeza, aendelee kuyavaa kwenye mat ukione yanayohusiana na jeshi
Mkuu nakupa unajua kufukunyua librarymijinga hii tu inawatishaView attachment 2011822
Huko madongo poromokangara ndani ndani saaaaaaaana