Rais Samia: Kusamehe Wafungwa wengi kwa wakati kutapunguza nguvukazi kwenye Miradi ya Magereza

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,000
9,862
Kamishna Mkuu wa Magereza, Meja Jenerali Suleiman Mzee alimuomba Rais Samia kutoa msamaha kwa wafunga ili kupunguza msongamano wa wafungwa magerezani.

Katika kujibu hilo amesema misamaha ya wafungwa huenda kwa matukio maalum. Hata hivyo amesema idadi ya wafunga na mahabusu inashabihiana hivyo ni vyema kupunguza mahabusu.

Amesema akitoa misahama mingi ya wafungwa Magereza itakosa nguvukazi ya kusaidia kwenye miradi ya Magereza, hivyo ni vyema kupunguza mahabusu kwa kuwa hawafanyi kazi.
 
Kamishna Mkuu wa Magereza, Meja Jenerali Suleiman Mzee alimuomba Rais Samia kutoa msamaha kwa wafunga ili kupunguza msongamano wa wafungwa magerezani.

Katika kujibu hilo amesema misamaha ya wafungwa huenda kwa matukio maalum. Hata hivyo amesema idadi ya wafunga na mahabusu inashabihiana hivyo ni vyema kupunguza mahabusu.

Amesema akitoa misahama mingi ya wafungwa Magereza itakosa nguvukazi ya kusaidia kwenye miradi ya Magereza, hivyo ni vyema kupunguza mahabusu kwa kuwa hawafanyi kazi.

Alitaka mfurahisha Rais, Rais kamjibu vizuri Sana
 
Mama yangu bwana. Sasa mahabusu unamsameheje na hajahukumiwa bado. Nadhani sheria inampa mamlaka kusamehe mfungwa ambae ameshaanza kutumikia kifungo sio mahabusu.
Kuna wale mahabusu wanaoweza kuondolewa mashtaka na DPP au kupewa dhamana, hasa wale ambao kesi zao zinapigwa kalenda kwa kisingizio cha upelelezi kutokamilika.
 
Kuna wale mahabusu wanaoweza kuondolewa mashtaka na DPP au kupewa dhamana, hasa wale ambao kesi zao zinapigwa kalenda kwa kisingizio cha upelelezi kutokamilika.
Sasa hawa wanatakiwa kusamehewa na Rais au uzembe wa system tu?
 
Kamishna Mkuu wa Magereza, Meja Jenerali Suleiman Mzee alimuomba Rais Samia kutoa msamaha kwa wafunga ili kupunguza msongamano wa wafungwa magerezani.

Katika kujibu hilo amesema misamaha ya wafungwa huenda kwa matukio maalum. Hata hivyo amesema idadi ya wafunga na mahabusu inashabihiana hivyo ni vyema kupunguza mahabusu.

Amesema akitoa misahama mingi ya wafungwa Magereza itakosa nguvukazi ya kusaidia kwenye miradi ya Magereza, hivyo ni vyema kupunguza mahabusu kwa kuwa hawafanyi kazi.
Chifu hangaya anafuka sana. Kwa hiyo ameona magereza ni mradi
 
Kuna wale mahabusu wanaoweza kuondolewa mashtaka na DPP au kupewa dhamana, hasa wale ambao kesi zao zinapigwa kalenda kwa kisingizio cha upelelezi kutokamilika.
Sasa huo unakua msamaha wa raisi?
 
Mama yangu bwana. Sasa mahabusu unamsameheje na hajahukumiwa bado. Nadhani sheria inampa mamlaka kusamehe mfungwa ambae ameshaanza kutumikia kifungo sio mahabusu.
Kuna kesi ambazo zipo miaka na miaka upelelezi haujaka ndio Samia anazisema hizi
 
Kwahiyo kesi nyingi za kubambikiwa huwa zina lengo la kuongeza nguvu kazi magerezani.
Hii kauli ya rais ina matatizo sana kwa mtu anayeelewa ubaya wa kutumia nguvukazi za wafungwa.

Na kwa msingi huu, kuna uwezekano kabisa magereza yakapungua watu, serikali ikahimiza watu wafungwe zaidi hata kwa kubambikiwa kesi, ili kuongeza cheap labor ya wafungwa.
 
Hii kauli ya rais ina matatizo sana kwa mtu anayeelewa ubaya wa kutumia nguvukazi za wafungwa.

Na kwa msingi huu, kuna uwezekano kabisa magerwza yakapungua watu, serikali ikahimiza watu wafungwe zaidi hata kwa kubambikiwa kesi, ili kuongeza cheap labor ya wafungwa.
Ina tafakarisha sana na ukizingatia si wengi wenye uwezo wa kuweka wakili wa kuwatetea.
 
Kwa hiyo ikitokea uhalifu umepungua itabidi watu wabambikiwe kukidhi mahitaji?
 
Hii kauli ya rais ina matatizo sana kwa mtu anayeelewa ubaya wa kutumia nguvukazi za wafungwa.

Na kwa msingi huu, kuna uwezekano kabisa magerwza yakapungua watu, serikali ikahimiza watu wafungwe zaidi hata kwa kubambikiwa kesi, ili kuongeza cheap labor ya wafungwa.
Sio lazima wafungwa ndio wafanye kazi katika miradi ya Magereza waache kubambikiza watu kesi kwa lengo la kupata nguvu kazi so sad
 
Back
Top Bottom