Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 4,958
- 4,589
Hakutaja tarehe, inwezekana ikawa hata Jumtano ya tarehe 24/09/2025!Ukiwa unajua kusikiliza utaona rais mwenyewe alivyosema alikuwa hana uhakika.
Rais anakwenda bila ratiba ya kueleweka.
Alianza kusema Jumatano.
Akasema Jumatano au Alhamisi.
Na hata Alhamisi ikipita bila ripoti kupelekwa kwa rais, au hilo kuonekana, sitashangaa.