Rais Samia kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kesho Machi 31, 2022

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Jan 12, 2019
320
412
MWENYEKITI WA CCM NDUGU SAMIA SULUHU HASSAN KUONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU KESHO.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Samia Suluhu Hassan ataongoza kikao Cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, tarehe 31 Machi 2022 Jijini Dodoma katika Ukumbi wa White House.

IMG-20220330-WA0075.jpg


IMG-20220330-WA0076.jpg
 
Ahsante kwa taarifa
Nitahudhuria bila kukosa
Naomba ajenda za kikao
 
Naanza kuamini Utafiti wa Kisayansi uliofanywa na shirika la Twaweza na kubaini kuwa CCM inaungwa mkono na wanachama wengi wajinga. Kikao chao pia kinaketi Tarehe 1 April ambayo ndiyo siku ya Wajinga Duniani. Sidhani Kama hii imetokea kwa bahati mbaya.
Maendeleo hayana Vyama.
 
Nafikiri hii ni forum nzuri kwa viongozi wetu wa chama kujitafakari kwa nini asilimia 93 ya watanzania wameMmiss Magufuli.

Watu wanataka viongozi wawajibikaji, wachapakazi, wenye uchungu na mali za umma na wanaojali wanyonge wanaotafuta rizki zao kwa shida aina hii ya kiongozi waliipata kwa Magufuli.

Leo upigaji na manyanyaso yamerudi kila kona mpaka wauza unga wanatamba mtaani.
 
Naanza kuamini Utafiti wa Kisayansi uliofanywa na shirika la Twaweza na kubaini kuwa CCM inaungwa mkono na wanachama wengi wajinga. Kikao chao pia kinaketi Tarehe 1 April ambayo ndiyo siku ya Wajinga Duniani. Sidhani Kama hii imetokea kwa bahati mbaya.
Maendeleo hayana Vyama.
Wewe ndiye mjinga kwakuwa hata tarehe ya kikao huijui ilihali imeandikwa kwenye bango.
 
Nafikiri hii ni forum nzuri kwa viongozi wetu wa chama kujitafakari kwa nini asilimia 93 ya watanzania wameMmiss Magufuli.

Watu wanataka viongozi wawajibikaji, wachapakazi, wenye uchungu na mali za umma na wanaojali wanyonge wanaotafuta rizki zao kwa shida aina hii ya kiongozi waliipata kwa Magufuli.

Leo upigaji na manyanyaso yamerudi kila kona mpaka wauza unga wanatamba mtaani.
Rais analalamika kwamba viongozi hawana uwezo lakini anaogopa kuwafuta kazi.

Kama mtu hana uwezo muondoe weka mwingine.
 
Nafikiri hii ni forum nzuri kwa viongozi wetu wa chama kujitafakari kwa nini asilimia 93 ya watanzania wameMmiss Magufuli.

Watu wanataka viongozi wawajibikaji, wachapakazi, wenye uchungu na mali za umma na wanaojali wanyonge wanaotafuta rizki zao kwa shida aina hii ya kiongozi waliipata kwa Magufuli.

Leo upigaji na manyanyaso yamerudi kila kona mpaka wauza unga wanatamba mtaani.
Hatutapata tena Rais wa aina ya JPM kwa kuwa sie ni Wajinga tulishindwa kuienzi na kuitunza 'Lulu' ile ambayo tuliipata kwa bahati mbaya tu kutokana na 'ugomvi wa majambazi'


Kwa jinsi alivyopata shida JPM kutupigania huku akikosa support ya waliopaswa kum support hakuna Rais atakaejaribu kuwa kama JPM…atakuwa anajisema 'cha kufia nini…'
 
MWENYEKITI WA CCM NDUGU SAMIA SULUHU HASSAN KUONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU KESHO.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Samia Suluhu Hassan ataongoza kikao Cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, tarehe 31 Machi 2022 Jijini Dodoma katika Ukumbi wa White House.

View attachment 2169821

View attachment 2169822
Akina Mangula na Sheni wao mbona hawataki kujiajiri? nimeanza kuwasikia miaka ya 2005 mpaka leo jamani na hapo kabla walikuwepo sn
 
Hatutapata tena Rais wa aina ya JPM kwa kuwa sie ni Wajinga tulishindwa kuienzi na kuitunza 'Lulu' ile ambayo tuliipata kwa bahati mbaya tu kutokana na 'ugomvi wa majambazi'


Kwa jinsi alivyopata shida JPM kutupigania huku akikosa support ya waliopaswa kum support hakuna Rais atakaejaribu kuwa kama JPM…atakuwa anajisema 'cha kufia nini…'
Mfuate yupo Shato ni rahisi tu kumuona sahivi
 
Nafikiri hii ni forum nzuri kwa viongozi wetu wa chama kujitafakari kwa nini asilimia 93 ya watanzania wameMmiss Magufuli.

Watu wanataka viongozi wawajibikaji, wachapakazi, wenye uchungu na mali za umma na wanaojali wanyonge wanaotafuta rizki zao kwa shida aina hii ya kiongozi waliipata kwa Magufuli.

Leo upigaji na manyanyaso yamerudi kila kona mpaka wauza unga wanatamba mtaani.
Kwenye mfumoko wa bei na mafuta kweli mimi sina hamu tena na hawa viongozi kutwa wanatafuta visingizio
 
Hatutapata tena Rais wa aina ya JPM kwa kuwa sie ni Wajinga tulishindwa kuienzi na kuitunza 'Lulu' ile ambayo tuliipata kwa bahati mbaya tu kutokana na 'ugomvi wa majambazi'


Kwa jinsi alivyopata shida JPM kutupigania huku akikosa support ya waliopaswa kum support hakuna Rais atakaejaribu kuwa kama JPM…atakuwa anajisema 'cha kufia nini…'
Kusema kweli mwamba alijitoa sana alipambana kuhakikisha maisha ya watanzania yanaboreka
 
Nafikiri hii ni forum nzuri kwa viongozi wetu wa chama kujitafakari kwa nini asilimia 93 ya watanzania wameMmiss Magufuli.

Watu wanataka viongozi wawajibikaji, wachapakazi, wenye uchungu na mali za umma na wanaojali wanyonge wanaotafuta rizki zao kwa shida aina hii ya kiongozi waliipata kwa Magufuli.

Leo upigaji na manyanyaso yamerudi kila kona mpaka wauza unga wanatamba mtaani.
Wavivu na wanaotaka kufanyiwa kila kitu na Serekali. Wanyonge na Wenye husuda.
 
Hatutapata tena Rais wa aina ya JPM kwa kuwa sie ni Wajinga tulishindwa kuienzi na kuitunza 'Lulu' ile ambayo tuliipata kwa bahati mbaya tu kutokana na 'ugomvi wa majambazi'


Kwa jinsi alivyopata shida JPM kutupigania huku akikosa support ya waliopaswa kum support hakuna Rais atakaejaribu kuwa kama JPM…atakuwa anajisema 'cha kufia nini…'
Umeongea na Mungu?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom