Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,141
- 18,769
Moderators wa JF mnazingua sana. Mmebadilisha kichwa cha thread na kutoka nje kabisa ya topic. Lengo haikuwa kusema kuna dalili za mafuta, bali kuweka mkazo kwamba lazima tuharakishe ku-utilize hii resource kwa kuwa kuna kasi ya kuacha kutumia mafuta duniani. Kwa nini mnafix vitu ambavyo havina tatizo, na kuishia kuharibu? Ndio maana kuna wakati niliacha kabisa kuandika thread kwa ajili ya mambo yenu kama haya
Raisi Samia, kuna dalili zote za kuwa na mafuta ziwa Tanganyika na Nyasa. Tusipoyachimba ndani ya miaka kumi ijayo hayatakuwa na faida tena kwetu
Raisi Samia, nadhani una taarifa kwamba kuna kila dalili za mafuta ndani ya Ziwa Tanganyika na Ziwa Nyasa. Hakuna maendeleo yaliyofanyika kuchimba mafuta katika maeneo haya kutokana na vikwazo viwili;
Sasa hii inamaanisha nini kwa nchi kama Tanzania ambazo hadi sasa zimekalia tu uchumi wa mafuta bila kuuendeleza? Ina maana ndani ya miaka 20 ijayo, mafuta yatakuwa si mali kitu. Hata ukigundua una mafuta mengi kama bahari ya Hindi, hayatakusaidia tena kwa kuwa dunia imeanza kuondoka toka tekinolojia ya mafuta kwenda teknolojia ya umeme!
Hivyo basi, kama kweli tunataka kufaidika na rasilimali ya mafuta tuliyonayo, ni lazima iendelezwe ndani ya kipindi cha miaka kumi ijayo. La sivyo haya mafuta yatakuwa na rasilimali isiyohitajika tena duniani, na ndani ya kipindi cha miaka kumi ijayo tutaanza kushuhudia kuporomoka kwa bei ya mafuta kadiri magari ya umeme yanavyoingia sokoni. Leo hii hata Lamborghini wamesema wataacha kutengeneza gari za mafuta!
Kwa hiyo kaza mwendo tuweke mkakati wa kuchimba mafuta Lake Tanganyika na Nyasa. Tatua changamoto zinazokabili maeneo haya. Waambie TPDC waache ku-weka areas with the highest oil potential for last. Ikiwezekana, wafanye mkupuo mmoja wa kugawa vitalu vya kufanya oil and gas exploration kwa nchi nzima, time is of essence, waache mwendo wa bata.
Tukiweza kuchimba mafuta ndani ya miaka kumi ijayo, yatachangia sana kuinua uchumi wetu, tutakuwa na barabara za rami hadi vijijini! Tukichelewa, haya mafuta hayatatusaidia, yatakuwa obsolete resource!
Angalia pia:
Katika awamu hii chini ya Rais mpya Malawi, Magufuli atumie fursa hii kutatua mgogoro wa mpaka kati ya Malawi na Tanzania
Raisi Samia, kuna dalili zote za kuwa na mafuta ziwa Tanganyika na Nyasa. Tusipoyachimba ndani ya miaka kumi ijayo hayatakuwa na faida tena kwetu
Raisi Samia, nadhani una taarifa kwamba kuna kila dalili za mafuta ndani ya Ziwa Tanganyika na Ziwa Nyasa. Hakuna maendeleo yaliyofanyika kuchimba mafuta katika maeneo haya kutokana na vikwazo viwili;
- Upande wa ziwa Tanganyika kuna kikwazo cha waasi wa DRC. Si rahisi kuendeleza mradi wa mafuta ziwani Tanganyika ikiwa waasi hawa wa DRC hawajaondolewa kabisa. Na mafuta haya yataendelezwa kwa ushirikiano kati ya Tanzania na DRC, ndio maana Tanzania ilikuwa tayari kupeleka jeshi DRC kusaidia kuondosha waasi ili tuchimbe haya mafuta kwa ushirikiano na DRC. Inaonekana zoezi la kuondoa waasi limekwama, na hiki kimekuwa kikwazo.
- Upande wa ziwa Nyasa kuna mafuta. Lakini pindi ilipoonekana Ziwa Nyasa lina mafuta tuliingia katika mgogoro wa mpaka kati yetu na Malawi. Wakijua rasilimali ya mafuta iloiyomo ziwani, Malawi walianza kudai ziwa Nyasa lote liko upande wa Malawi na ndio maana wao wanalitambua kama Ziwa Malawi. Nilipendekeza humu JF kwamba tuachane na suala la mgororo wa mpaka na jirani zetu Malawi tukubaliane nao kwamba rasilimali yoyote ya mafuta ndani ya ziwa tutagawana 50/50 bila kujali iko upande gani. Sijui kama nilisikilizwa.
Sasa hii inamaanisha nini kwa nchi kama Tanzania ambazo hadi sasa zimekalia tu uchumi wa mafuta bila kuuendeleza? Ina maana ndani ya miaka 20 ijayo, mafuta yatakuwa si mali kitu. Hata ukigundua una mafuta mengi kama bahari ya Hindi, hayatakusaidia tena kwa kuwa dunia imeanza kuondoka toka tekinolojia ya mafuta kwenda teknolojia ya umeme!
Hivyo basi, kama kweli tunataka kufaidika na rasilimali ya mafuta tuliyonayo, ni lazima iendelezwe ndani ya kipindi cha miaka kumi ijayo. La sivyo haya mafuta yatakuwa na rasilimali isiyohitajika tena duniani, na ndani ya kipindi cha miaka kumi ijayo tutaanza kushuhudia kuporomoka kwa bei ya mafuta kadiri magari ya umeme yanavyoingia sokoni. Leo hii hata Lamborghini wamesema wataacha kutengeneza gari za mafuta!
Kwa hiyo kaza mwendo tuweke mkakati wa kuchimba mafuta Lake Tanganyika na Nyasa. Tatua changamoto zinazokabili maeneo haya. Waambie TPDC waache ku-weka areas with the highest oil potential for last. Ikiwezekana, wafanye mkupuo mmoja wa kugawa vitalu vya kufanya oil and gas exploration kwa nchi nzima, time is of essence, waache mwendo wa bata.
Tukiweza kuchimba mafuta ndani ya miaka kumi ijayo, yatachangia sana kuinua uchumi wetu, tutakuwa na barabara za rami hadi vijijini! Tukichelewa, haya mafuta hayatatusaidia, yatakuwa obsolete resource!
Angalia pia:
Suluhisho la mgogoro na Malawi ni hili; sio suala la ziwa wala mpaka
Suala la uwepo wa mafuta katika ziwa Nyasa na kusababisha mgogoro wa mpaka kati ya Tanzania na Malawi limeishia wapi?Katika awamu hii chini ya Rais mpya Malawi, Magufuli atumie fursa hii kutatua mgogoro wa mpaka kati ya Malawi na Tanzania