Rais Samia kuhudhuria mazishi ya malikia Elizabeth II

ile barua ya rambirambi ya ikulu ingetosha kabisa, na angesisitiza tuchape kazi kumuenzi malkia, balozi wetu angetuwakilisha.
 
Nawauliza nyie bavicha happy Ufipa mnaokesha mkimjadili Shujaa Magufuli na uzalendo wake uliotukuka
Unajuaje, huenda muda huu ndio anampokea huko, si alisema anaenda kuwa kiongozi wa Malaika? Ukute Yuko kitengo Cha kupokea fresh Wafu
 
ngonjear za aina hii siku nyingi. Wanatuzua sisi kujitegema na sisi tunakubali kuzuiwa? Kwa nini na sisi tusiwazuie wao kujitegemea. Acha ngonjera zilizopitwa na wakati.
Zimbabwe imefanyiwa nini? Au hujui kilicho watokea wazimbabwe? Kwanini nchi ambayo ilikuwa inashindana n South Africa leo ni masikini kuliko hata Tanzania?

Kama hata hilo hulitambui basi itabidi niache kuendela ku-debate na wewe, maana nitakuwa nampigia mbuzi gitaa wakati haelewi nini kinaendelea.

Duuh! Sikujua kama wewe ni bogus kiasi hicho au unajifanya huelewi?

Pole sana!!!
 
Sijui huu mfano unasaidia nini kutetea kuwa sisi ni tegemezi kwa West! Kujenga reli kwa mkopo kutoka China ndiyo tumemaliza kila kitu? Ningeona una hoja kama ungesema tumeacha kutegemea misaada ya West kabisa na sasa tunajitosheleza kwa juhudi zetu.
Umeuelewa lakini? Au unahitaji ufafanuliwe?

 
Mimi naongea uhalisia kwa kuweka ushahidi wa mambo makubwa aliyo yafanya mh Rais yaliyoishangaza Dunia baada ya kuona matunda yake, mama yupo kazini muda wote
Duh!

Akili yako wewe haipo sawa. Lakini sikushauri ukatafute msaada wa wataalam, maana haya yako hayana tiba.
 
ngonjear za aina hii siku nyingi. Wanatuzua sisi kujitegema na sisi tunakubali kuzuiwa? Kwa nini na sisi tusiwazuie wao kujitegemea. Acha ngonjera zilizopitwa na wakati.


Na hili tukio la kutaka kumwuua Rais wa Madagaskar unalizingumziaje?

Unajua kwa nini walitaka kumwuua huyo Rais?

Kijana jaribu kusikiliza watu wanao jua mambo yanayo tokea duniani. Wafaransa ndiyo wamekuwa wakifanya hivyo mda wote kuwa-eliminate maRais wa Afrika ambao wanachukua maamuzi kinyume cha mataifa makubwa na yenye nguvu yanavyotaka.

Kwa Rais Magufuli haikuwa shida kwao. Kwa matatizo aliyokuwa nayo ya moyo haikuwa shida kuzima chombo ambacho alikuwa anakitumia ku-pump damu kwenye moyo wake kwa kutumia Electromagnetic Waves.
It is a simple technology.

Ma Rais wetu wanapata misuko suko mikubwa sana kila wakati wanapo amua kuchukua maamuzi tofauti na matakwa ya mataifa tajiri hasa EU. Nafikiri ulijionea mwenyewe jinsi gani Balozi za Westen World kama Amerika, England na kadhalika jinsi gani walikuwa wanaingilia mambo ya ndani ya nchi.

Umeona wapi mabalozi wa nchi wanaingilia mambo ya ndani ya nchi? Mabalozi wetu Amerika na nchi nyingine wanaweza fanya kama wao walivyo kuwa wanatufanyia?

 
Wanawake kwa kiherehere wako vizuri, mtu hujaambiwa uende lkn kwakuwa tozo zipo bc unaenda usipoitwa.
 
Kiukweli nimeipenda heshima hii Rais Samia aliyo shuka nayo jiji la London

Nilitamani sana angeshuka hivi Jijini New York ile trip ya Royo Tua hivyo kwanza tulishauri Hongera Rais Samia, Kwenda US, Kuhutubia UN, Safari ya Kuzindua Filamu Yako ya Royal Tour, Tunaomba Tukusindikize, Dreamliner Yetu Itue New York kilichotokea ni Je, Uzinduzi Royal Tour ungekuwa na maana kama Rais Samia angetua kwa Dreamliner & ATC kuzindua Direct Flights from DAR-JFK-DAR/JRO-JFK-JRO?

Na baada ya msiba, apumzike kidogo for check up, shopping & relax just a little bit, then aende straight New York kwenye UNGA and this time ahutubie kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili. Angalau ule mkataba wa anga huria kati ya US na Tanzania uwe na sisi tumeuonja!.

Mungu Mbariki Samia,
Mungu Ibariki Tanzania
P
Masikini ratiba hii imeisha kufa
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amewasili Jijini New York nchini Marekani ambapo anatarajia kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Baraza Kuu la 77 la Umoja wa Mataifa (UNGA).

Makamu wa Rais anatarajiwa kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa katika Ukumbi wa Mikutano wa Umoja wa Mataifa Jijini New York nchini Marekani tarehe 22 Septemba 2022.

Aidha Makamu wa Rais ataongoza Ujumbe wa Tanzania katika Mikutano mbalimbali inayohusu Uchumi, Elimu, Afya, Demokrasia na Malengo ya Maendeleo Endelevu ambayo Tanzania imealikwa na nchi washirika, Taasisi za kimataifa na Asasi binafsi.
Hili la rais yuko UK, makamu yuko NY kwa maoni yangu ni muendelezo wa lile tatizo la upangaji wa vipaumbele vyetu, baada ya kumuona Rais Samia amekwenda UK, then mimi nilimpangia ratiba hii Rais Samia kuhudhuria mazishi ya malikia Elizabeth II

Shughuli ya mazishi ya Malkia inaisha leo, kesho ilikuwa atoke UK na kutimba NY kama mwenzie Ruto. Unless ilikuwa ni mipango ya muda mrefu iliishapangwa VP atamuwakilisha UNGA, ratiba ya msiba ndio ikaingilia!.

Ila tukubali, tukatae, kwenye cost cutting za trips trips JPM alikuwa mzuri!, kwa umasikini wetu, we didn't have to send two different delegations to two separate events ambazo ziko just two days apart, one delegation would have been enough to cover both events.

P
 
Masikini ratiba hii imeisha kufa

Hili la rais yuko UK, makamu yuko NY kwa maoni yangu ni muendelezo wa lile tatizo la upangaji wa vipaumbele vyetu, baada ya kumuona Rais Samia amekwenda UK, then mimi nilimpangia ratiba hii Rais Samia kuhudhuria mazishi ya malikia Elizabeth II

Shughuli ya mazishi ya Malkia inaisha leo, kesho ilikuwa atoke UK na kutimba NY kama mwenzie Ruto. Unless ilikuwa ni mipango ya muda mrefu iliishapangwa VP atamuwakilisha UNGA, ratiba ya msiba ndio ikaingilia!.

Ila tukubali, tukatae, kwenye cost cutting za trips trips JPM alikuwa mzuri!, kwa umasikini wetu, we didn't have to send two different delegations to two separate events ambazo ziko just two days apart, one delegation would have been enough to cover both events.

P
Wewe unafikiri Jembe angeenda huko? Thubutuu! Jembe hakuwa mtu wa kuwatukuza Half Apes People. Maisha yake yalikuwa dedicated kwa watanzania wenzake. Alijua vitu watu wanavyo vihangaikia huko majuu, ndiyo masna alijitahidi nasi nasi tuwe navyo hapahapa. Kwa kiasi kikubwa cha maisha yake kama Rais, naweza sema, amefanikiwa. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi! Amina
 

Attachments

  • 20220919_195034.jpg
    20220919_195034.jpg
    521.7 KB · Views: 1
  • 20220919_195008.jpg
    20220919_195008.jpg
    332.2 KB · Views: 1
  • 20220919_194852.jpg
    20220919_194852.jpg
    550.6 KB · Views: 1
  • 20220919_194836.jpg
    20220919_194836.jpg
    552.7 KB · Views: 1
Back
Top Bottom