UtajuajeKwani anakwenda kudanga?
Daah kweli gaidi yako, ndiye shujaa wa mwenzako!Atuombee makazi huko haraka maana Burundi tumekaribia kujaa. Na Rwanda ndio ilitakiwa tuelekezwe tangu awali
View attachment 1864506
Kama anayo auAnaenda kukaguliwa.
Mimi mwenyewe nataka kwenda Rwanda!Mama katuombee makazi huko haraka maana huku Burundi tumekaribia kujaa.
Rwanda ndio ilitakiwa tuelekezwe tangu awali
View attachment 1864506
Kwa utamaduni wetu mfiwa huwa anatembelewa na wageni.Sasa sisi tunatumia gharama kubwa kuwafuata ambao hawakufiwa.
Huko nje gharama za mwenyeji au zasisi wafiwa na tozo za simu
kuna kitu huyu mama anakitafuta kwa PK asimwamini kabisa Yule mzeeDaah kweli gaidi yako, ndiye shujaa wa mwenzako!
Who cares JK, Au Mwendazake walikuwaje na PK, ukiangalia picha ya hizi honey traps??
Everyday is Saturday...............................
usihofu maza anakuja na VISA
Kabisa.Namshauri Mama abaki nyumbani kwanza. Hii "dunia" ni ngumu sana.
Akirudi huko tutakoma!
Nalog off
Kwahiyo nchi za Nje ni Rwanda na BurundiUshauri wa wapinzani ktk nchi yetu si wa kufuata Tena Magu alipokataa kwenda nje ya Nchi mlipiga kelele sana,saiz Tena mko kupiga juhudi za Rais Samia
Umeniwahi mkuu nilitaka niseme piaAende na ikimpendeza Mungu aishie huko huko asirudi bongo
Hajui nini wanataka, hata wao wenyewe.Ushauri wa wapinzani ktk nchi yetu si wa kufuata Tena Magu alipokataa kwenda nje ya Nchi mlipiga kelele sana,saiz Tena mko kupiga juhudi za Rais Samia
Kwani Mgeni akihamia mtaani kwenu ni yeye ndo hua anakuja kujitambulisha kwa wenyeji wa mtaa huo au wenyeji ndio hua wanaenda kujitambulisha kwa Mgeni aliyekuja?Mbona yeye ndo anawafuata tu?