Rais Samia komesha uzembe wa askari barabarani

chase amante

JF-Expert Member
Feb 24, 2018
5,553
2,073
Habarini ndugu,

Siku za hivi karibuni kumekua na ajali nyingi sana za barabarani, ambazo kwa kiasi kikubwa zinasababishwa na uzembe wa madereva. Lakini, askari wa barabarani wamejisahau sana na kupelekea kuongezeka kwa ajali hizo.

Naomba mama samia liangalie swala hili
 
Back
Top Bottom