Rais Samia: Kisiasa tupo vizuri, leo wanangu wamejipanga na Mabango yao nikawaambia nimewaona, nikawapungia Mkono

Kuna dhambi gani kushikana mikono na watanzania wenzake? Mbona alishikana mikono na watanzania na wasio watanzania alipohunduria UNGA?

Amandla...
Kushikana mikono ktk mazingira gani we bwege nini. Unadhani DC ni sawa na Ungindoni kisarawe. Nyambaf
 
Rais samia akiwa Washington D.C amesema Tanzania kisiasa tupo Vizuri.

Hali ya Kisiasa Tupo Stable,Hali ya Kisiasa iko Nzuri, tunachukua Hatua za kufanya Vyama vyote vya Siasa vikae Pamoja Kujadili namna ya Kuendesha Siasa zetu Nchini.

Rais amewaona Vijana wa Marekani walioandamana na Mabango na Fulana wakidai Katiba Mpya na Wabunge wa 19 Wafukuzwe. Amesema ameyaona Mabango na kuyasoma. Ujumbe umefika.

Kuhusu chadema kugomea Vikao vya Baraza la vyama vya siasa, amesema anawaelewa na anaendelea kuzungumza nao ili wajiunge na wenzao.

Ziara ya Rais Samia: Watanzania waishio Marekani waandamana kudai Katiba Mpya

View attachment 2199573
At least Anaonekana kuelewa elewa. Tatizo akirudi Bongo wale wamshauri wanambadirisha.....!!
 
Hangaya alikula kona kusoma maandishi, aangalie asije kuyasomea ukutani......mene mene tekeli na...........
 
Inaonekana we NI rahisi Sana kutongozeka.

Ova

Unaweza ukampenda ntu akitia huruma kidogo.

Angekuwa ana Nia nzuri angetuongoza kizembe namna hii?kidhaifu kbs kuwahi kutokea?hapana kwa kweli bado Nampa 1%.

Uwezo ukiwa mdg NI mdg tu unabaki kusubiri MUNGU asaidie...but mbya Mungu hasaidii maendeleo na ndo maana bado Kuna majanga yanaharibu ustawi.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
binadamu hamna jema mlivyokuwa mnaoiongozwa na jpm mlisema kinyume na haya kumbe ndiyo mlikuwa mnapenda kupelekwa kijeshi wala hamueleweki mnapenda nini
 
Rais samia akiwa Washington D.C amesema Tanzania kisiasa tupo Vizuri.

Hali ya Kisiasa Tupo Stable,Hali ya Kisiasa iko Nzuri, tunachukua Hatua za kufanya Vyama vyote vya Siasa vikae Pamoja Kujadili namna ya Kuendesha Siasa zetu Nchini.

Rais amewaona Vijana wa Marekani walioandamana na Mabango na Fulana wakidai Katiba Mpya na Wabunge wa 19 Wafukuzwe. Amesema ameyaona Mabango na kuyasoma. Ujumbe umefika.

Kuhusu chadema kugomea Vikao vya Baraza la vyama vya siasa, amesema anawaelewa na anaendelea kuzungumza nao ili wajiunge na wenzao.

Ziara ya Rais Samia: Watanzania waishio Marekani waandamana kudai Katiba Mpya

View attachment 2199573
si mnasemaa mama alipitia mlango wa uani na madeluuu akapitaa main door sasa aliyaonaje mabangoo na tishetiii zenye jumbe
 
Huyu mama analeta utani kwenye vitu serious..., kwamba hali ni nzuri Tanzania ndio maana watu wanapata muda wa kulalamika badala ya kufanya kazi na kutatua matatizo yao !!!, Kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa
 
Inaonekana we NI rahisi Sana kutongozeka.

Ova

Unaweza ukampenda ntu akitia huruma kidogo.

Angekuwa ana Nia nzuri angetuongoza kizembe namna hii?kidhaifu kbs kuwahi kutokea?hapana kwa kweli bado Nampa 1%.

Uwezo ukiwa mdg NI mdg tu unabaki kusubiri MUNGU asaidie...but mbya Mungu hasaidii maendeleo na ndo maana bado Kuna majanga yanaharibu ustawi.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
SUKUMA GANG MTAELEWA TU ZAMA HIZI
 
Walikuwa wamepita kwenye scanner mzee. Security risks mitaa hiyo ni kubwa sana bro
Scanner ipi? Hiyo scanner waliibeba kutoka Bongo? Na waliwascan wapita njia wote maana walipeana mikono wakiwa kwenye public area.

Amandla...
 
Back
Top Bottom