Hata zukrgerg au mo alianza kuajiliwa kwanza ndo akapata mtaji wa kujiajiriAkili za kuajiriwa!
Kushikana mikono ktk mazingira gani we bwege nini. Unadhani DC ni sawa na Ungindoni kisarawe. NyambafKuna dhambi gani kushikana mikono na watanzania wenzake? Mbona alishikana mikono na watanzania na wasio watanzania alipohunduria UNGA?
Amandla...
Na wakina Mange aliwashika mikono Ungindoni Kisarawe?Kushikana mikono ktk mazingira gani we bwege nini. Unadhani DC ni sawa na Ungindoni kisarawe. Nyambaf
Next time try ZUCKERBERGHata zukrgerg au mo alianza kuajiliwa kwanza ndo akapata mtaji wa kujiajiri
At least Anaonekana kuelewa elewa. Tatizo akirudi Bongo wale wamshauri wanambadirisha.....!!Rais samia akiwa Washington D.C amesema Tanzania kisiasa tupo Vizuri.
Hali ya Kisiasa Tupo Stable,Hali ya Kisiasa iko Nzuri, tunachukua Hatua za kufanya Vyama vyote vya Siasa vikae Pamoja Kujadili namna ya Kuendesha Siasa zetu Nchini.
Rais amewaona Vijana wa Marekani walioandamana na Mabango na Fulana wakidai Katiba Mpya na Wabunge wa 19 Wafukuzwe. Amesema ameyaona Mabango na kuyasoma. Ujumbe umefika.
Kuhusu chadema kugomea Vikao vya Baraza la vyama vya siasa, amesema anawaelewa na anaendelea kuzungumza nao ili wajiunge na wenzao.
Ziara ya Rais Samia: Watanzania waishio Marekani waandamana kudai Katiba Mpya
View attachment 2199573
Thanks a lot. Next time I will do the needfulNext time try ZUCKERBERG
anaewaamini ccm akapimwe akiliHuyu ana ni nzuri. Hana makubwa sema mafisi yaliyomzunguka Sasa,
Walikuwa wamepita kwenye scanner mzee. Security risks mitaa hiyo ni kubwa sana broNa wakina Mange aliwashika mikono Ungindoni Kisarawe?
Amandla...
binadamu hamna jema mlivyokuwa mnaoiongozwa na jpm mlisema kinyume na haya kumbe ndiyo mlikuwa mnapenda kupelekwa kijeshi wala hamueleweki mnapenda niniInaonekana we NI rahisi Sana kutongozeka.
Ova
Unaweza ukampenda ntu akitia huruma kidogo.
Angekuwa ana Nia nzuri angetuongoza kizembe namna hii?kidhaifu kbs kuwahi kutokea?hapana kwa kweli bado Nampa 1%.
Uwezo ukiwa mdg NI mdg tu unabaki kusubiri MUNGU asaidie...but mbya Mungu hasaidii maendeleo na ndo maana bado Kuna majanga yanaharibu ustawi.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Jpm ndiye Rais Bora zaidi kuwahi kutokeabinadamu hamna jema mlivyokuwa mnaoiongozwa na jpm mlisema kinyume na haya kumbe ndiyo mlikuwa mnapenda kupelekwa kijeshi wala hamueleweki mnapenda nini
si mnasemaa mama alipitia mlango wa uani na madeluuu akapitaa main door sasa aliyaonaje mabangoo na tishetiii zenye jumbeRais samia akiwa Washington D.C amesema Tanzania kisiasa tupo Vizuri.
Hali ya Kisiasa Tupo Stable,Hali ya Kisiasa iko Nzuri, tunachukua Hatua za kufanya Vyama vyote vya Siasa vikae Pamoja Kujadili namna ya Kuendesha Siasa zetu Nchini.
Rais amewaona Vijana wa Marekani walioandamana na Mabango na Fulana wakidai Katiba Mpya na Wabunge wa 19 Wafukuzwe. Amesema ameyaona Mabango na kuyasoma. Ujumbe umefika.
Kuhusu chadema kugomea Vikao vya Baraza la vyama vya siasa, amesema anawaelewa na anaendelea kuzungumza nao ili wajiunge na wenzao.
Ziara ya Rais Samia: Watanzania waishio Marekani waandamana kudai Katiba Mpya
View attachment 2199573
SUKUMA GANG MTAELEWA TU ZAMA HIZIInaonekana we NI rahisi Sana kutongozeka.
Ova
Unaweza ukampenda ntu akitia huruma kidogo.
Angekuwa ana Nia nzuri angetuongoza kizembe namna hii?kidhaifu kbs kuwahi kutokea?hapana kwa kweli bado Nampa 1%.
Uwezo ukiwa mdg NI mdg tu unabaki kusubiri MUNGU asaidie...but mbya Mungu hasaidii maendeleo na ndo maana bado Kuna majanga yanaharibu ustawi.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Scanner ipi? Hiyo scanner waliibeba kutoka Bongo? Na waliwascan wapita njia wote maana walipeana mikono wakiwa kwenye public area.Walikuwa wamepita kwenye scanner mzee. Security risks mitaa hiyo ni kubwa sana bro