MANGANAATAU MATHITHINYANA
Member
- Mar 17, 2022
- 99
- 92
Labda sisi ndio tumeanza kwa kumuita mama.Hii tabia ya kuita watu WANANGU imetoka wapi. Wanae anao nyumbani kwake nawengine tuna wazazi wetu asituyumbishe kutaka kutawala familia za watu! Abaki na nafasi yake kama Rais wa nchi.
Acha kuwaita watu Wanangu hakuna anakula kwako!.
Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app