Rais Samia: Kazi zipo nyingi Tanzania, ni vijana kuchakarika na kuona fursa

HAHAH aisee Rais yeye ndio anatakiwa kuona aibu kuongoza taifa la vijana wasio na ajira wanaokadiriwa kuwa 70%.
Kweli madaraka matamu leo hii samia anawashangaa vijana wasio na ajira?
Hivi hao vijana watajiajiri vipi ikiwa bidhaa ambazo wangenunua na kuuza zimepandishwa kodi na bei juu?
Vijana wataajiriwa na nani ikiwa makampuni yanayofanya baishara huduma na bidhaa kodi ziko juu?

Kimsingi Rais afanye jambo moja kwenye ile dola billion elfu sita kila kijana apewe million moja.
 
Mama alivumiliaaaa maneno ya kejeli kutoka Kila Kona Sasa kaanza kuchomoa betri Kila Kona ili mumjue vizuri
 
Sio aibu tu, Bali ni fedheha.
Yaani kwa fursa zilizopo Tanzania kijana unakosaje kazi.

Umeshindwa kulima,
Umeshindwa kufuga,
Umeshindwa hata kutengeneza funza uwauizie wafugaji kuku.
Umeshindwa kutengengeneza hydroponic folder uwauzie wafugaji.
Umeshindwa hata kutafuta pori ukapande majani ya ng'ombe(hayahitaji mbolea Wala kumwagilia) upige hela

Ukiziorodhesha zinaweza zikafika laki Saba

HAHAH aisee Rais yeye ndio anatakiwa kuona aibu kuongoza taifa la vijana wasio na ajira wanaokadiriwa kuwa 70%.
Kweli madaraka matamu leo hii samia anawashangaa vijana wasio na ajira?
Hivi hao vijana watajiajiri vipi ikiwa bidhaa ambazo wangenunua na kuuza zimepandishwa kodi na bei juu?
Vijana wataajiriwa na nani ikiwa makampuni yanayofanya baishara huduma na bidhaa kodi ziko juu?

Kimsingi Rais afanye jambo moja kwenye ile dola billion elfu sita kila kijana apewe million moja.
Ugomvi huo
 
Atusaidie macho ya kuona fursa, mbona hataji huzo fursa zilizopo? kwenye kilimo serkali wamevuruga, kwenye biashara ndo kabisa.. atusaidie hizo fursa alizoziona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom