Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,786
- 156,908
Hivi chadema na bavicha waliwahi kukubaka?...hao ni watani zako lkn mbona una chuki?Bavicha watashangilia sana! Maana kauli hiyo inamhusu Ndugai
Hivi chadema na bavicha waliwahi kukubaka?...hao ni watani zako lkn mbona una chuki?Bavicha watashangilia sana! Maana kauli hiyo inamhusu Ndugai
Hivi huu mstari unapatikana kitabu gani ktk biblia?Asiyefanya kazi asile by Biblia
Lakini siyo kwamba asiye na ajira asile.
Umeambiwa kazi ziko nyingi wewe unazungumzia " kibarua" cha Zege.biblia haijasema asiyefanya kazi imesema ASIYETAKA KUFANYA KAZI uwe unasoma vizuri. Kuna mtu anataka afanye kazi lakini kazi inakosekana. Kuna siku mtu unaweza ukatafuta hapa palipo na zege ushiriki na ukakosa.
Mapori ya kulima yapo kibao,furusa ya ufugaji ipo,furasa ya ufundi ipo,lakini tumekariri kazi ni zakulipwa tu mshahara.Kasema kazi ni nyingi na ajira ni za kumwaga kwa hiyo changamkieni fursa.
Kumbuka Uhamiaji wametangaza ajira 400+ ilhali mtaani wapo mamilioni ya vijana wasomi wasio na ajira
Duuh!!! Kwa bei hii ya mbolea na soko hili hili?Mapori ya kulima yapo kibao,furusa ya ufugaji ipo,furasa ya ufundi ipo,lakini tumekariri kazi ni zakulipwa tu mshahara.
Watu wenye akili zao wanapojadili vitu vya msingi, wewe kilaza uwe unakaa pembeni kuliko kuonyesha "utupu" wako hadharani.Bavicha watashangilia sana! Maana kauli hiyo inamhusu Ndugai
Soko lipo imara sana kwa sasa.Mbolea ni namna tu ya wewe ukiwa mvivu wa kufyeka msitu ili upate shamba jimpya lisilohitaji mbolea.Duuh!!! Kwa bei hii ya mbolea na soko hili hili?
Ngoja nitembee toka hapa Mbezi beach hadi Mbagala nikaangalie fursa.
Nisipoziona tutakutana 2025.
Sio aibu tu, Bali ni fedheha.
Yaani kwa fursa zilizopo Tanzania kijana unakosaje kazi.
Umeshindwa kulima,
Umeshindwa kufuga,
Umeshindwa hata kutengeneza funza uwauizie wafugaji kuku.
Umeshindwa kutengengeneza hydroponic folder uwauzie wafugaji.
Umeshindwa hata kutafuta pori ukapande majani ya ng'ombe(hayahitaji mbolea Wala kumwagilia) upige hela
Ukiziorodhesha zinaweza zikafika laki Saba
Ugomvi huoHAHAH aisee Rais yeye ndio anatakiwa kuona aibu kuongoza taifa la vijana wasio na ajira wanaokadiriwa kuwa 70%.
Kweli madaraka matamu leo hii samia anawashangaa vijana wasio na ajira?
Hivi hao vijana watajiajiri vipi ikiwa bidhaa ambazo wangenunua na kuuza zimepandishwa kodi na bei juu?
Vijana wataajiriwa na nani ikiwa makampuni yanayofanya baishara huduma na bidhaa kodi ziko juu?
Kimsingi Rais afanye jambo moja kwenye ile dola billion elfu sita kila kijana apewe million moja.
That's the only thing that CCM members are well at.michambo imekuwa mingi
Hahaha!!! Nahisi hujawahi kulimaSoko lipo imara sana kwa sasa.Mbolea ni namna tu ya wewe ukiwa mvivu wa kufyeka msitu ili upate shamba jimpya lisilohitaji mbolea.