Rais Samia: Kazi zipo nyingi Tanzania, ni vijana kuchakarika na kuona fursa

Hahahah kufa kupo tu tunafundishwa"Unatakiwa umuombe Mungu uongelewe vizuri baada ya kufa"
Co ha maiblid ambao walishiriki kuumiza binadamu wenzao na mmoja yupo jahannam nw huyu mwngne anaweweseka tu hana la kufanya
Kufa ni kufa tu, yani kama njinsi ambavyo mbwa hufa na kuoza ndivyo jinsi binadamu anakufa, tofauti ya binadamu na mbwa ni heshima ya mazishi tu.

Ni nani aliyewahi kuongelewa vibaya na watu wote? Hâta Oussama kuna watu wanamuongelea vizuri.
 
Dogo natumaini hang’over imeshakuisha.

Unapoona watu wanarogeana vyeo usione ni wapumbavu wale maslahi yana maana kubwa sana kwenye kazi. Ndio maana kazi ikitangazwa ya TRA, BOT, PSSSF wata apply mpaka wenye ajira binafsi. Huo uraisi tu watu wanafutiana uanachama na kufungana jela sababu kubwa sio cheo tu ni maslahi yanayokuja na cheo hicho.

Mwisho wa siku kila mtu anataka maisha mazuri kazini. Maisha mazuri kazini huwezi kuyapata kwa kupokea laki 1 kwa mwezi kamwe. Usitegemee utajenga wala kuoa kwa laki yako moja kwa mwezi sababu haitoshi kufanya lolote zaidi utakula kwa kupiga pass ndefu na kuua winga ili ubakiwe na nauli ya kuitafta laki mwezi ujao.

Hapo ndipo rushwa, ufisadi na dhana ya udokozi inapoibukia mkuu. Sasa kwa mfanyakazi wa ndani utadokoa vipi? Utaiba vijiko vya mwenye nyumba ukauze ama? Ila waliopo secta nzuri zenye mianya ya udokozi serikalini ndio wanaishi kwa rushwa kujitaftia laana zisizo na msingi kabisa. Huko ndio nafasi hazipatikani sikuhizi. Tunazidi kujazana mtaani tu af mtu anakuja na ngonjera za kazi zipo... ndio kazi zipo hata kufagia uwanja wa mama mwenye nyumba ni kazi ila anakulipa nani stahiki zako?
Kama unataka kulipwa zaidi ya laki 1, lete huduma ambazo watu wanazihitaji watakulipa au vumbua kitu ambacho kinakidhi mahitaji ya watu ukiuze utalipwa. Nenda kaandike app utajirike, nenda kavumbue dawa utajirike, nenda katunge wazo la biashara utafute wawekezaji wakupe hela. Nenda kaingie kwenye riadha na kacheze mpira utajirike. Lakini kama huwezi, usidharau kazi za laki 1. Wengi wanaofanya hizo kazi hapa mjini, wanatuma hela kusaidia familia zao vijijini.
 
Hii haina tofauti na alivyosema Wamachinga na Mama mboga waondolewe taratibu, na sasa anaamini wote wapo mahali salama wanaendelea na shughuli zao na wanapata riziki zao.
 
Kama unataka kulipwa zaidi ya laki 1, lete huduma ambazo watu wanazihitaji watakulipa au vumbua kitu ambacho kinakidhi mahitaji ya watu ukiuze utalipwa. Nenda kaandike app utajirike, nenda kavumbue dawa utajirike, nenda katunge wazo la biashara utafute wawekezaji wakupe hela. Nenda kaingie kwenye riadha na kacheze mpira utajirike. Lakini kama huwezi, usidharau kazi za laki 1. Wengi wanaofanya hizo kazi hapa mjini, wanatuma hela kusaidia familia zao vijijini.
Wao wanaolipana posho laki 3 kwa siku wameleta ubunifu gani kuona kuwa wanastahili kulipana laki 3 kwa siku?

Mkuu usiongee usiyoyajua kwa laki 1 hutoboi labda uwe na biashara ya kuuza kete za bangi kimya kimya😅
 
Wao wanaolipana posho laki 3 kwa siku wameleta ubunifu gani kuona kuwa wanastahili kulipana laki 3 kwa siku?

Mkuu usiongee usiyoyajua kwa laki 1 hutoboi labda uwe na mke mchakarikaji
Haya fanya kampeni wapunguziwe hizo posho. Lakini wewe bado utabaki huna kazi kama kazi za laki 1 unaziponda.
 
Tatizo vijana wengi wameelekeza nguvu zao, muda na maarifa mitandaoni. Hawataki kujishughulisha na kazi ya mikono au akili, muda mwingi wanautumia kuwapigania na kuwatetea wanasiasa wachovu ambao wengine wanaishi Ulaya kula bure, kulala bure nk. Wanasiasa hawa hawana msaada wowote wa maana kwao na familia zao. Sana sana wanaishia kutumiwa vijibando tu mtandaoni na buku buku ya kula.
Hao ni Wangapi?.

Leo anzisha site mahali anza kuweka Material uone Watu watakavyokusanyika hapo, Wakike na wa Kiume wanataka kazi.

Haya mambo yenu mnaongea kwa kudhania tu au kuchukua sample ya kundi dogo haimsaidii yeyote.
 
Yaani mmeua sekta binafsi ambayo ndo inatakiwa kuwa injini ya uchumi na mzalishaji mkubwa wa ajira tangu mlipoingia madarakani na jiwe, leo hii unakuja kuogea dhihaka kwa vijana? au tuendelee kuamini ule usemi mwenye shibe hamjui mwenye njaa......
 
Sio aibu tu, Bali ni fedheha.
Yaani kwa fursa zilizopo Tanzania kijana unakosaje kazi.

Umeshindwa kulima,
Umeshindwa kufuga,
Umeshindwa hata kutengeneza funza uwauizie wafugaji kuku.
Umeshindwa kutengengeneza hydroponic folder uwauzie wafugaji.
Umeshindwa hata kutafuta pori ukapande majani ya ng'ombe(hayahitaji mbolea Wala kumwagilia) upige hela

Ukiziorodhesha zinaweza zikafika laki Saba
Anzisha wewe uwaajiri maana sio kila Mtu ana uwezo au maono ya kuanzisha jambo.
 
Naona ameshaanza kulewa na urais......kumbe urais mtamu? Mwambie mama anasoma kitabu kimoja cha shule ya Msingi sikumbuki darasa la ngapi ila kuna hadithi ya Muwa uliozamisha meli
Rais Samia amesema Vijana wengi wanasubiri Ajira wanapomaliza kusoma, lakini hawahangaiki kutafuta fursa za kazi. Ameeleza, "Kazi zipo nyingi Tanzania, ni Vijana kuchakarika, kuziona hizo fursa na kuanza kuzitumia"

Ametoa rai hiyo leo Januari 07, 2022 wakati akishiriki Maadhimisho ya Kilele cha Matembezi ya Miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Amesisitiza, "Naombeni kaangalieni fursa za kazi. Fursa zipo nyingi na ni aibu kijana kukaa bila kazi"

Ameongeza, "Na hapa nitazungumzia changamoto inayofuata ambayo ni nyie Vijana kutokujua au kutotumia fursa zilizopo. Hamzitumii kabisa! Niwaombe sana Vijana, kuna fursa nyingi. Piteni Vyuoni mtaelekezwa jinsi ya kuziona fursa hizo"

Kuhusu changamoto ya Mitaji kwa Vijana amesema kuna Fedha za Halmashauri na Mifuko kadhaa ambayo inatoa Mikopo kwa Vijana imeanzishwa, lakini bado haijatosheleza kutokana na idadi kubwa ya Vijana

Sikiliza sehemu ya hotuba yake kuhusu Vijana na Kazi:

View attachment 2072394
 
Yaani mmeua sekta binafsi ambayo ndo inatakiwa kuwa injini ya uchumi na mzalishaji mkubwa wa ajira tangu mlipoingia madarakani na jiwe, leo hii unakuja kuogea dhihaka kwa vijana? au tuendelee kuamini ule usemi mwenye shibe hamjui mwenye njaa......
Wanasiasa si watu wazuri kabisa
 
Rubbish,namtetea Samia with free will bila pay yoyote Nina maisha yangu kabisaa hayahusiani na siasa.
We mzenji mpumbafu tumesha kujua ,wacha tukujulishe tu kuwa mama yako ananyota ya mafii ,abebeki utsjisumbua bure toka lini mzanzibar akawa na akili
 
Mkuu na wewe umedakia comment hewani bila kujua aliyemquote alikuwa anataniana na mimi na kuhusu kilimo cha mbogamboga ana maana yake anayoimaanisha tofauti na hiyo yenu mliyomuelewa.
Tuendele kuchapa kazi mtoto mzuri, haya mashamba yetu ya mboga mboga yaliyotapakaa nchi nzima yanafurahisha 😍
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom