Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,240
- 5,245
π π π π π π π nmecheka kweliSi ndo hapo??? Huku tunaambiwa usiwe jobless fuga hata mende nyie nyieeee
π π π π π π π nmecheka kweliSi ndo hapo??? Huku tunaambiwa usiwe jobless fuga hata mende nyie nyieeee
Inawabidi angalau basi wawe wanajisikia aibu wanapo amua kuwasilisha mawazo yaoHapo sasa
Siku zote mwenye ajira anamuona mwenye njaa kama hana akili.Aliyeshiba hamjui mwenye njaa
πππ huyo ni motivational speaker achana nae tu mjombaHata zingekuwepo. Bongo kwa kazi hio hio mtu atataka ufanye siku nzima akulipe 5,000/=??? Ni unyama ulioje yani umfanyishe mtu kazi masaa 12 halafu umlipe 5,000. Kazi nyingi za bongo ni level ya vibarua kimaslahi.
Ndio maana wao wanakomaa wawapachike watoto wao huko NSSF, NHIF, TRA, GSPA,TASAC,TRA,BOT n.k ambako mishahara ni ya kuridhisha ukiwa na kisomo chako. Kwanini wasiwapeleke kuosha masufuria hotelini kama ni kazi nzuri hizo?
Hapo hujala, familia haijala na nauli ya kesho unatakiwa uwahi kibaruani. Hivyo vibarua vya aina hio wenzetu wanaolipana laki na nusu mpaka laki 3 kwa siku wao wanaziita ajira. Ooh wawekezaji wameongezeka mtapata ajira muwekezaji wa kuja kukulipa 5,000 kwa kukutumia siku nzima?
Ulaya walau mtu atakulipa 5000 kila lisaa limoja...Masaa 12 ni elfu 60. Hakuna mtu ambaye angebaki mtaani kama kuna kazi ya aina hio.
sio rahisi hivyo mkuu,.ila sawa tutachunguza uwezekano sababu hali ni teteMikoa yote kuanzia Morogoro mpaka Katavi huko mapori ni mengi sana mkuu.
utamkaba nani hali ilivyo tete?.. sema tutakabana,Tutaenda kukaba maana hakuna namna sasa..
Dogo natumaini hangβover imeshakuisha.Soma nilichoandika uelewe kabla ya kukurupuka kujibu. Kazi za chini siyo lazima u housegirl na u houseboy au kusugua masufuria au kusafisha hotelini. Hata hizo kazi za kilimo na uvuvi zilizozungumzwa na Rais ni za chini. Sasa kama unalipwa laki 1 si ni bora kuliko kutokuwa na ajira? Ndiyo maisha hayo chochote ni bora kuliko kutokuwa na ajira. Vijana kutokuwa na ajira zozote hata zile ambazo unaona za chini ni hatari. Kumbuka "an idle mind is the devil's playground".
Kwanza nguvu zenyewe za kukaba sijui natoa wapi.utamkaba nani hali ilivyo tete?.. sema tutakabana,
Ila wewe utaishi milele.Ww ndugai zama zake zmeshakwisha,wale maiblis wakuu watakufa mmoja baada ya mwingne
Wanaongea utadhani wao wana tiketi ya kuishi milele hapa duniani.Ila wewe utaishi milele.
Ila wewe utaishi milele.
Who are you to judge?!Ishu co kuishi milele ishu uliishi vp dunian????what goes around comes around
Who are you to judge?!
inasikitisha sana,...ikiwa mchakato wa kuhamia ughaibuni ungekuwa rahisi basi vijana wengi sana wange'sepa' hii nchi ya viongozi wabinafsi...aminiKwanza nguvu zenyewe za kukaba sijui natoa wapi.
Ccm bwana!...wao wapo wanatafuna mihela na posho halafu huku wanasema hakuna hela za kutosha kuwapa vijana mitaji.
Ccm wanaupiga mwingiπππinasikitisha sana,...ikiwa mchakato wa kuhamia ughaibuni ungekuwa rahisi basi vijana wengi sana wange'sepa' hii nchi ya viongozi wabinafsi...amini
Na wewe utavuta,hakuna atakayebaki..Matendo yako yakiwa ya kishetani utaitwa shetan tu hakuna namna
Kuna yule Iblis kuu tayar lishavuta bado hili makamu lake nalo lipo njian mana hakuna tena kutibiwa na yale mahela lukuk
Na wewe utavuta,hakuna atakayebaki..
Ni suala la muda na zamu.
Tena unajikuta uko motoni.
Una mawazo ya essay za form two.Yupo sahihi vipi mtu unakua huna kazi, mfano rahisi hizi taka ukizifanyia kazi zinaweza kua mbolea.
Wewe kelele zako za kumuongelea mtu vibaya siyo kipimo cha hukumu ya Mungu.Hahahah kufa kupo tu tunafundishwa"Unatakiwa umuombe Mungu uongelewe vizuri baada ya kufa"
Co ha maiblid ambao walishiriki kuumiza binadamu wenzao na mmoja yupo jahannam nw huyu mwngne anaweweseka tu hana la kufanya