Rais Samia katuthibitishia matumizi ya Kiswahili hayakuwa kukikuza bali kuna mtu lugha ya Kimataifa hakuiweza

Eti kiswahili ni lugha ya kitaifa!kiswahili ni lugha ya kimataifa bro.kenya,uganda,comoro,burundi,rwanda na congo ni sehemu ya tanzania?Chuo kikuu ya yale nchini marekani wanafundisha kiswahili.
Vile nini hasa? Uelewa mdogo kiasi hicho? Bado wakazana kuandika tu. Huoni aibu? Umetaja nchi zinazoongea Kiswahili? Waganda watakukatalia. Hata wakenya nao hawatakubali. Wengine watabaki kushangaa ukilaza wako.
Kiswahili ni lugha ya kitaifa kwa sababu ni lugha ya taifa moja tu. Hata Tz Kiswahili ni lugha ya taifa na sio official language. Usije hata hapa leta ubishi wa kile usojua. Fanya utafiti kwanza, ndipo uje!
 
Bavicha na chadema nzima mzimu wa Magufuli utawatesa maisha yenu yote na 2025 tutawagonga tena
 
Kama had leo unaamn kuongea lugha ya kiingereza n bora zaid ya kiswahil

Jipige kifua sema mm n limbukeni
 
Kujua kiingereza mkuu sio kigezo cha kuwa mtu bora kulitumikia taifa naona anataka sifa kwan angezungumza kiswahili awepo mkalimani kam ilivyokua kwa Rais wa Afrika ya kusin angaeonak sioo msom kwa hiyo hotuba ww mtanzania wa ndani ambae kiingereza hakijui inakuwa veep acheni unafik nyieee
 
Kama had leo unaamn kuongea lugha ya kiingereza n bora zaid ya kiswahil

Jipige kifua sema mm n limbukeni
Kabis mbumbumbu wako wengi sana Tanzania wanao fikiri kujua lugha ya kigeni na kuitumia katika mambo ya msingi kama ziara ya nje ya nchi alafu unajikuzaa na kutumia kiingereza angali nchi wengi wao sio wasomi kias kwamba wanao elewa wachacheee Mzee alikua anaona mbali sana yule basi tuu
 
mataifa makubwa huww yana misimsmo hiyo kwa kuwa wanajitosheleza kwa vitu vingi
ukishakuwa taifa masikini huwezi kuwa na msimamo wako , maana huna mchango na unategemea mataifa mengine
Ukiwa masikini hakukuondolei uwezo wa kuwa huru na lugha yako.kwenye technolojia sawa ila hata kwenye mikutano?

Binafsi Sijaona sababu ya mama kuongea kingereza wakatu uganda wanaongea kiswahili kwa kiasi kikubwa.
 
kwa kuwa umeruhusu tukukosoe basi acha tutimize wajibu.

I'd prefer the person who will honor their language first(i prefer a person who honers his/her national language).

We, who are Educated have moved from those days of slavery(we have moved from old slavery days).


NB: kingereza chako ni cha kawaida sana, jifunze kuandika sentesi fupi zinazoeleweka zenye maneno machache.

nitafarijika zaidi kama utanijibu kwa kingereza ili tuendelee "kupanuana" mawazo.

Sent using Jamii Forums mobile app
😆Hujui kiingereza. Their inatumika badala ya her/his. So usishangae mtu akasema i want a person who their behavior is good. Badala ya kuweka his/her ikaweka their. Jifunze hilo.

Sijaona pengine ambapo umerekebisha zaidi ya kutumia maneno mbadala. Weka makosa. Mi nlidhani utakuwa unaelewa kumbe nawe ndo akina maimuna.

Usikariri kiingereza. You need to go deep. Very deep to understand english.😁

Screenshot_20210412-232012~2.png


Nilitaka kuanza kukupimia hapa.ndo nmegundua unadhani unajua kumbe hujui.
 
Huyu mama mambo ya kiprotokali hayajui vizuri vinginevyo atakua na jambo lake. Waziri wake kaanza na kingereza kisha kaomba radhi aendelee kwa lugha rasmi ya kwao. Rais wake kuja anapwaga tu kizungu. Hakika ni pigo kwa juhudi ya kukipa hadhi yake kiswahili.
Kutojielewa na kutojiamini ndo changamoto kubwa.
 
Hadi leo kuna wajinga wanajua kuongea kiingereza kizuri ndio usomi!Ni ujuha. Kiingereza ni lugha kama kiswahili tu.acha ujuha na mawazo mgando.
Ungejua faida ya kuzifahamu lugha tofauti usingesema hivyo. Ina maana wewe waweza kumchagua Rais wako asiyejua hata kiswahili kwa vile hata kisukuma nacho ni lugha kama kiswahili tuu?
Acha ujinga!
 
KARNE HII MWAFRIKA ANAJISIFIA NA YUKO PROUD KUONGEA LUGYA YA KIINGEREZAINATAPISHA NA KUSIKITISHA
Wewe kama hukijui nyamaza. Kama umesoma sekondari, high school hadi chuo kikuu tena phd halafu lugha uliyosomea huijui unatutia mashaka!
Tanzania tunasoma kwa kiingereza, halafu hukijui? Hatumaanishi kuwa fluently kama vile lugha ya mama yako, bali kukijua tuu kwa kuelewa na kuzungumza inatosha.
 
naamini unaweza kuandika kitu bora kushindanda ulichoandika hapa tuachane na hayo baada ya miaka mitatu nitakuja na ID nyingene utaandika hiki hiki ulichoandika leo
Unaelewa mtu anayekuja na ID tofauti kila siku tunamchukuliaje?
Malizia mwenyewe!
 
Hayo makaratasi aliyoandikiwa akasoma wala si ushahidi kuwa anakifahamu kiingereza. Hata mwanafunzi wa kidato cha pili shule ya kata anaweza kusoma hayo.

Hatutampima kwa kujua au kutojua kiingereza.
Huwezi kusoma kwa mtiririko mzuri lugha usiyo ielewa vizuri. Huoni jamaa hata alipokuwa anaandikiwa akisoma ni vichekesho?
 
Mtu amefariki bado watu mnamuongelea as though mnalipwa. Mbaya wenu kaondoka wote mtakua matajiri sasa muacheni nae apumzike kwa amani.
Mbona nyie mnamuongelea kumsifu na mapambio?
Ulitaka yale aliyoharibu atajwe nani kuwa kaharibu? Nenda DRC, Mobutu anatajwa kwa mabaya yake hadi leo iwe huyu wa juzi ambaye aliowaumiza hata vidonda havijapona!
 
Marais wa France,China German,Russia na kwingineko wote hua wanatumia lugha zao,acha kua na mawazo ya kitumwa.
Sasa wewe Tz na njaa zako unajifananisha na hayo mataifa? Ni Sawa na jirani maskini kumuiga jirani tajiri kutokuhudhuria misiba na shughuli zingine za kijamii mtaani, subiri mfiwe kwa pamoja then utajua kwa nini yule tajiri alikuwa hahudhurii
 
Najua Magufuli alikuwa naye anaongea kiingereza; mwache apumuzike kwa amani huko alikotangulia.






Hiyo video ya mwisho hasomi hotuba iliyoandikwa
 
32 Reactions
Reply
Back
Top Bottom