Rais Samia katuaibisha nje ya Nchi tena. Hizi si Mila za Mtanzania

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,490
54,884
Salaam

Kitendo cha Kumnywesha juisi Mwanaume kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki

Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?

Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.

Kiprotocal hii imekaaje?
IMG_20220923_113120_606.jpg

Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
suluhu-1024x713.png

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
Screenshot_20220923-194336.png


Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.
 
Salaam

Kitendo cha Kumnyeshwa Mwanaume Juice kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki

Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?

Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuuliza kiasi hiki?
😁😁😃😃 Usisahau kwamba Rais ni Mwanamama so hizo events huwa wanazipenda Sana.
 
Back
Top Bottom