Mbona now days ndo kumekuwa na kipindi kigumu cha maisha kwenye hii nchiMimi sijaona hiyo legacy zaidi ya kuona hicho kipindi kilikuwa kigumu kwa nchi yetu kwa utawala wake
Azori gwanda na Ben saananeAlimuua na kumpoteza nani? Tupe uthibitisho.
tuthibitishie.Azori gwanda na Ben saanane
Bora Sasa tuko huru maisha ya hofu yalizidi sana aisee, watu hata story hupigi unaogopa ogopa tuMbona now days ndo kumekuwa na kipindi kigumu cha maisha kwenye hii nchi
Hahahaa kwa hiyo nyie wakati mnawatandika makofi wenye nguo za kijani mlisikia raha au?Magufuli asifiwe kwa mazuri aliyofanya kama miradi yake mikubwa aliyotuachia, na utendaji kazi serikalini alirudisha uwajibikaji kwa kuondoa/kupunguza uzembe, simply alikuwa na "fear factor of a certain" kind ambayo somehow ilikuwa positive.
Lakini kwa suala la siasa ndani ya nchi yetu niseme kweli Magufuli ndio aliturudisha nyuma kabisa, hapa ndipo ambapo "fear factor" ya Magufuli ilitumika negatively.
Unavyosema aliwarudishia uwezo wa kuvaa sare zenu alifanya hivyo kwa njia zisizo halali, na sio kwa kukubalika kwenu kwa wananchi.
Chaguzi nyingi wakati wake wapinzani walikuwa wanapigwa, wanatekwa, wanauwawa, ili tu CCM yake itangazwe mshindi bila kupingwa, tofauti na unavyoonesha kwenye andiko lako kama vile mlikuwa mkishinda kihalali.
Uko huru kudanga na kushobokea mabuzi ya town!Bora Sasa tuko huru maisha ya hofu yalizidi sana aisee, watu hata story hupigi unaogopa ogopa tu
Yes soko huria hili kila jambo ni freeUko huru kudanga na kushobokea mabuzi ya town!
Nasikia siku hizi biashara ni huru?
Naanza na 1.5 Trillion, mpaka leo haijulikani iko wapi na ukawa mwanzo wa wa mwisho wa CAG aliyekuwepo.Tuthibitishie huo ufisadi na wizi.
Palamagamba kashathibitisha hilotuthibitishie.
Kwani mikopo haiombwi??Kukopa ni sawa na kuomba?
mbona nyerere anaongelewa kila siku? nayeye tumuache apumzike? jinga weweKwanini hamtaki kumwacha Magufuli apumzike daily kumuanzishia nyuzi humu JF, si mtakuwa mnamfanya azunguke huko kaburini, you have to accept he is gone na Samia atakuwa Samia hawezi kuwa Magufuli kamwe.
Huyu anaongelewa in negative way you can't compare with Nyerere idiotmbona nyerere anaongelewa kila siku? nayeye tumuache apumzike? jinga wewe