gasper jj
Member
- Nov 13, 2012
- 54
- 40
Wakati unakuja kuomba kura kwa awamu ya pili ya uongozi wenu 22/09/2020, nakumbuka ahadi nyingi ulizotuahidi, najua kipindi hicho 2020 ulikuwa Makamu wa Rais mtarajiwa, najua ulitoa ahadi kutoka moyoni za nini utatufanyia wana MBEYA tukiwachagua, najua ulijua mtashinda uchaguzi na mulishinda kwa kishindo.
Najua ulikuwa unaongelea ahadi mtakazotekeleza wewe na Rais jambo la faraja sana kwa wana Mbeya wewe sasa ndiye Rais na ndiye mshika mpini tunakuomba sasa utekeleze zile ahadi ulizotuahidi za barabara kutoka Igawa, Songwe mpaka Tunduma kilomita 2018 kuifumua na kuiboresha kwa kiwango cha kimataif
Pia ile barabara ya kuchepuka kwa ajili ya malori kutoka Inyala Uyole Songwe, kuboresha gridi ya Mwakibete tuwe na umeme wa uhakika, madaraja n.k
Karibu mama Mbeya tena maana nimesikia tar 01/12/2021 utatutembelea katika viwanja vilevile ulivyotumia kutupa ahadi 22/09/2020
Najua ulikuwa unaongelea ahadi mtakazotekeleza wewe na Rais jambo la faraja sana kwa wana Mbeya wewe sasa ndiye Rais na ndiye mshika mpini tunakuomba sasa utekeleze zile ahadi ulizotuahidi za barabara kutoka Igawa, Songwe mpaka Tunduma kilomita 2018 kuifumua na kuiboresha kwa kiwango cha kimataif
Pia ile barabara ya kuchepuka kwa ajili ya malori kutoka Inyala Uyole Songwe, kuboresha gridi ya Mwakibete tuwe na umeme wa uhakika, madaraja n.k
Karibu mama Mbeya tena maana nimesikia tar 01/12/2021 utatutembelea katika viwanja vilevile ulivyotumia kutupa ahadi 22/09/2020