Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,981
INAMPASA MMOJA AFE KWA AJILI YA WENGI? HAPANA WAFE WOTE WENYE DHAMBI. (JE, OLE SABAYA AMETOLEWA SADAKA?)
Tunashukuru kwa hatua uliyoichukua dhidi ya Sa baya. Huyu alikuwa na makando kando mengi nyakati za utawala wa Hayati John Pombe Magufuli(Dhulma, Matumizi mabaya ya Uongozi, Ufisadi n.k)
Lakini hakuwa peke yake. na wengine hawa hapa tunaomba wafanyiwe uchunguzi huru na wa haki. Either washtakiwe au wasafishwe. Mimi naanza na huyu wa kwanza.
1. Christian Makonda
Tuhuma zake ni pamoja na Kuchukua Rushwa, Kutumia mamlaka Vibaya, Kuhusishwa na Utekaji na Mauaji. Tunaomba ufanyike uchunguzi huru ili asafishwe kijana wa watu au ahukumiwe maana isije tu kuwa Chadema walikuwa wanamchukia na kuamua kumpakazia mambo hayo sababu ya utendaji kazi wake akiwa Mkuu wa Mkoa na baada ya kutokuwa Mkuu wa Mkoa wameridhika mpaka siku tena akija pata Cheo au Uongozi ndo waanze kulalamika. Tunaomba jambo hili ulifanyie kazi.
Wito wangu
Naomba watanzania wenzangu either tutaje watuhumiwa wengine au tutaje wanaotakiwa kusafishwa kutokana na yale ambayo walitendwa na kunenwa. Mimi nimeanza na huyo wewe Mtanzania mwenzangu unaweza ongezea wengine.
Tunashukuru kwa hatua uliyoichukua dhidi ya Sa baya. Huyu alikuwa na makando kando mengi nyakati za utawala wa Hayati John Pombe Magufuli(Dhulma, Matumizi mabaya ya Uongozi, Ufisadi n.k)
Lakini hakuwa peke yake. na wengine hawa hapa tunaomba wafanyiwe uchunguzi huru na wa haki. Either washtakiwe au wasafishwe. Mimi naanza na huyu wa kwanza.
1. Christian Makonda
Tuhuma zake ni pamoja na Kuchukua Rushwa, Kutumia mamlaka Vibaya, Kuhusishwa na Utekaji na Mauaji. Tunaomba ufanyike uchunguzi huru ili asafishwe kijana wa watu au ahukumiwe maana isije tu kuwa Chadema walikuwa wanamchukia na kuamua kumpakazia mambo hayo sababu ya utendaji kazi wake akiwa Mkuu wa Mkoa na baada ya kutokuwa Mkuu wa Mkoa wameridhika mpaka siku tena akija pata Cheo au Uongozi ndo waanze kulalamika. Tunaomba jambo hili ulifanyie kazi.
Wito wangu
Naomba watanzania wenzangu either tutaje watuhumiwa wengine au tutaje wanaotakiwa kusafishwa kutokana na yale ambayo walitendwa na kunenwa. Mimi nimeanza na huyo wewe Mtanzania mwenzangu unaweza ongezea wengine.