Hao vijana ni wajasiri, wenye kuthubutu, wanajiamini na hawaogopi mtu yeyote yule isipokuwa Rais tu, of course! Mwenye sifa hizo, unamuhitaji sana kipindi hiki:
Watazuia, kikamilifu na bila uoga, chokochoko zozote zile zenye nia mbaya na hivyo kukupatia pumziko la akili (amani) itakayokuwezesha kupanga mipango yako madhubuti ya kimaendeleo.
Nawasilisha, ukifutwa uzi basi nitaendelea kujilalia tu!
Watazuia, kikamilifu na bila uoga, chokochoko zozote zile zenye nia mbaya na hivyo kukupatia pumziko la akili (amani) itakayokuwezesha kupanga mipango yako madhubuti ya kimaendeleo.
Nawasilisha, ukifutwa uzi basi nitaendelea kujilalia tu!