Hahahahaha.......vinyonga ni viguegeu kila dakika!Taja kifungu kinachomlazimisha aitangaze hadharani
Kwenye kundi la vinyonga hakunaga safari!
Hahahahaha.......vinyonga ni viguegeu kila dakika!Taja kifungu kinachomlazimisha aitangaze hadharani
Kwenye kundi la vinyonga hakunaga safari!
Mar 28, 2021 · RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemuagiza Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BoT), Prof. Florence Luoga na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, wampatie ripoti ya matumizi ya fedha za utekelezaji wa miradi ya maendeleo, zilizotolewa hazina kuanzia Januari hadi Machi 2021.
View attachment 1797752
Nanukuu: Nitoe agizo kwenu (CAG) na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Florens Luoga yupo hapa, nenda pitia fedha zote zilizotoka kuanzia Januari hadi Machi, zilizokwenda kwenye miradi ya maendeleo tunataka kuziona.
Je Mh. Rais Samia Suluhu Hassan, hii ripoti tayari umeiona na kama bado, itakuwa tayari lini
"Uswahili tu"Mar 28, 2021 · RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemuagiza Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BoT), Prof. Florence Luoga na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, wampatie ripoti ya matumizi ya fedha za utekelezaji wa miradi ya maendeleo, zilizotolewa hazina kuanzia Januari hadi Machi 2021.
View attachment 1797752
Nanukuu: Nitoe agizo kwenu (CAG) na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Florens Luoga yupo hapa, nenda pitia fedha zote zilizotoka kuanzia Januari hadi Machi, zilizokwenda kwenye miradi ya maendeleo tunataka kuziona.
Je Mh. Rais Samia Suluhu Hassan, hii ripoti tayari umeiona na kama bado, itakuwa tayari lini?
Mar 28, 2021 · RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemuagiza Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BoT), Prof. Florence Luoga na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, wampatie ripoti ya matumizi ya fedha za utekelezaji wa miradi ya maendeleo, zilizotolewa hazina kuanzia Januari hadi Machi 2021.
View attachment 1797752
Nanukuu: Nitoe agizo kwenu (CAG) na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Florens Luoga yupo hapa, nenda pitia fedha zote zilizotoka kuanzia Januari hadi Machi, zilizokwenda kwenye miradi ya maendeleo tunataka kuziona.
Je Mh. Rais Samia Suluhu Hassan, hii ripoti tayari umeiona na kama bado, itakuwa tayari lini
Uswahili tu"Mar 28, 2021 · RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemuagiza Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BoT), Prof. Florence Luoga na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, wampatie ripoti ya matumizi ya fedha za utekelezaji wa miradi ya maendeleo, zilizotolewa hazina kuanzia Januari hadi Machi 2021.
View attachment 1797752
Nanukuu: Nitoe agizo kwenu (CAG) na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Florens Luoga yupo hapa, nenda pitia fedha zote zilizotoka kuanzia Januari hadi Machi, zilizokwenda kwenye miradi ya maendeleo tunataka kuziona.
Je Mh. Rais Samia Suluhu Hassan, hii ripoti tayari umeiona na kama bado, itakuwa tayari lini?
Hakuna ajuaekwani ilishatoka!!??!!
Kaizer madume kweli kweli! 4-3 na Poleni maana naona bado mnawewesekanaona upo kwenye mafunzo ya wizi huko CCM. umeanza kuimarika.jizi mdogo
Ha ha ha haaa! Mnaanza kumchenjia, siyo? ( a bit of joke)as long as SSH
akili ndogo unachanganya mambo. be consistentKaizer madume kweli kweli! 4-3 na Poleni maana naona bado mnaweweseka
My friend, the lady has protective gears to handle any kind of explosive known on earth. Above all, she is guided by a well known guru tactician for mining explosives. The tactician is in the first class explosive-miner armour humvee !This lady is walking on eggs loaded with dynamites......
Rafiki yako Trump hajambo? Nasikia naye bado anauota Urais! Seriously TUJITEGEMEE, kwa nini kila mara unakuwa upande wa malimbukeni kama jiwe? Yaani unavyoyatetea majitu ya aina hiyo, it's sad!My friend, the lady has protective gears to handle any kind of explosive known on earth. Above all, she is guided by a well known guru tactician for mining explosives. The tactician is in the first class explosive-miner armour humvee !
Therefore, don't worry about the loaded dynamites.
Ha ha ha a! Mkuu niache kwanza tumalize hili ulilolitea jukwaani. Asante kwa kwa kunifanya nitabasu muda huu.Rafiki yako Trump hajambo? Nasikia naye bado anauota Urais! Seriously TUJITEGEMEE, kwa nini kila mara unakuwa upande wa ? Yaani unavyoyatetea majitu ya aina hiyo, !
Bila kumung'unya maneno ndugu yangu, sisi wengine tunachodai ni haki, uhuru na utawala unaofuata sheria. Hatuwezi kumnyamazia Kiongozi asiyeheshimu Katiba aliyoapa kuilinda na kuitetea...huo unafiki hatuna kabisa! Ndio maana, maneno ya awali ya Rais Samia Suluhu Hassan tuliyachukulia kwa uzito wake pale alipoahidi kuzingatia sheria.Ha ha ha a! Mkuu niache kwanza tumalize hili ulilolitea jukwaani. Asante kwa kwa kunifanya nitabasu muda huu.
Kwa kweli katulia hadi napata mashaka nae sasa!Wameshamuweka sawa ametulia mbwembwe zote kwisha kabla hata ya siku 100
Watu wanaloga usiku kucha, hakumbuki chochote tena
Jpm alivifukua sema akifukua cha kigogo haswa anafanya hivyo kimya kimya.Kuna vyungu havifukuliwi hivi hivi inahitaji timing kubwa
Ukiona hivyo ujue ni pungufu ya T1.Mbona siku hizi hatuoni taarifa ya makusanyo ya kodi kwa kila mwezi kutoka TRA?