Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,774
- 93,547
Da ni kweli nimekumbuka mkuuHata kule Kibaha 2018 aligoma kufungua stendi ya Bus zinazokwenda bara na akaahidi kurudi baada ya wiki mbili tatu hivi, watu wakaenda kuloga makwao basi mpaka wa leo nafikiri hata akipita hapo huwa haioni kabisaaa