Rais Samia, jaribio lolote la kuipa Zanzibar mamlaka kamili ndilo litakuwa anguko lako

Suzy Elias

JF-Expert Member
Nov 9, 2021
1,067
6,192
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.

Usalama wa kitu gani labda? Ni kipi so special hapa bara ambacho Zanzibar ndio inapaswa kuwa kinga yetu? Au ni muungano wa kitambiko kiasi kwamba ukivunjika mizimu itafanya yake?
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Naupenda sana Muungano wetu; lakini hapo hapo sipendi kulazimishana au kufanyiana ujanja ujanja; mmoja akifaidika zaidi ya mwingine katika muungano huo.

Waasisi wa Muungano hawakuwa na malengo ya huu tulionao sasa, kwa kushindwa kwetu kuuimarisha na kuustawisha ili Muungano uwe na manufaa kwa wote.

Ni uamini wangu kwamba, hata Samia awe na nia ya kuuvunja Muungano, sidhani kwamba atakuwa na ujasiri wa kufanya hivyo na yeye akabaki amesalimika na heshima zake.
 
Atakumbukwa na wengi wakiwemo wananchi waliotoa maoni kwenye tume zote kuhusu kero za Muungano. Atakumbukwa na wananchi wengi ikiwemo wale wa tume ya Warioba.

Atakuwa kauweza mfupa ulioshindwa kuguswa na wengi, koti la Tanganyika ndani ya Muungano litakuwa limevuliwa rasmi sasa tukae mezani kuamua muundo mpya wa Muungano.
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Zanzibar kupata mamlaka kamili inamtisha Nani? Mbona wahafidhina mna Mambo ya ajabu ajabu hivi? Kwa hiyo CCM kukubali mchakato wa Katiba mpya mnaona kina Mwigulu na kundi lenu mnakwenda kuangukia pua?
 
Kuna kila dalili Zanzibar ikajitenga na kuwa nchi kamili kwa maslahi ya Viongozi wetu wa awamu hii.

Ni zaidi ya hatari endapo Zanzibar itaruhusiwa kuwa na mamlaka kamili kwa usalama wa Tanganyika!

Na hapa nisipepese macho NAONA KILA DALILI RAIS WETU WA SASA ANATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

Kwenu Tiss.
Acha afanye

Zanzibar huru na Tanganyika huru then tunabaki na mambo machache mno ya kushirikiana
 
Usalama wa kitu gani labda? Ni kipi so special hapa bara ambacho Zanzibar ndio inapaswa kuwa kinga yetu? Au ni muungano wa kitambiko kiasi kwamba ukivunjika mizimu itafanya yake?
Hamna cha maana ambacho Zanzibar inaipatia Tanganyika

Mbona hatujaungana na Comoro upande wa kusini mashariki

All in all kila upande uwe na mamlaka yake, yaani kuwe na Zanzibar huru na Tanganyika huru
 
Hamna cha maana ambacho Zanzibar inaipatia Tanganyika

Mbona hatujaungana na Comoro upande wa kusini mashariki

All in all kila upande uwe na mamlaka yake, yaani kuwe na Zanzibar huru na Tanganyika huru

Exactly.
 
Back
Top Bottom