Rais Samia, inakuwaje shida ya maji maeneo ya Nyashishi, Nangomango, Usagara na Kigongo, Mwanza?

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,909
51,904
Mama Samia wizara ya maji shida inakuwaje maeneo ya Mwanza ya Nyashishi, Nangomango, Usagara,Bukumbi na Kigongo kule daraja la Magufuli linajengwa Mwanza wanatumia maji ya visima huku wako karibu na ziwa?

Mibomba inatoka ziwani inapeleka maji Shinyanga nk huku walio karibu kabisa na ziwa wana shida kubwa ya maji wanatumia maji ya visima ni sawa?

Mtimue huyo Waziri wa Maji
 
Mama Samia wizara ya maji shida inakuwaje maeneo ya Mwanza ya Nyashishi, Nangomango, Usagara na Kigongo kule daraja la Magufuli linajengwa Mwanza wanatumia maji ya visima huku wako karibu na ziwa?

Mibomba inatoka ziwani inapeleka maji Shinyanga nk huku walio karibu kabisa na ziwa wana shida kubwa ya maji wanatumia maji ya visima ni sawa?

Mtimue huyo Waziri wa Maji
Hili swali ungemuuliza mhe jumaa aweso direct.
 
Yani shida ya maji kwenye eneo lako unamwulizia Rais?

Kuna Mkuu wa wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri wa maji, Waziri Mkuu

Lakini ukapanda hadi kulaumu kwa Rais?😁

Maajabu tatizo likiisha hamtaki apongezwe Rais
 
Mama Samia wizara ya maji shida inakuwaje maeneo ya Mwanza ya Nyashishi, Nangomango, Usagara na Kigongo kule daraja la Magufuli linajengwa Mwanza wanatumia maji ya visima huku wako karibu na ziwa?

Mibomba inatoka ziwani inapeleka maji Shinyanga nk huku walio karibu kabisa na ziwa wana shida kubwa ya maji wanatumia maji ya visima ni sawa?

Mtimue huyo Waziri wa Maji
Noma kweli hata maeneo ya kiseke,mlima wa rada maji hakuna kabisa.
 
Yani shida ya maji kwenye eneo lako unamwulizia Rais?

Kuna Mkuu wa wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri wa maji, Waziri Mkuu

Lakini ukapanda hadi kulaumu kwa Rais?😁

Maajabu tatizo likiisha hamtaki apongezwe Rais
Awatimue wote
Kuanzia madiwani,wabunge na viongozi wa hayo maeneo hadi viongozi wa idara za maji za mkoa na wilaya na walioko wizarani na Waziri mwenyewe ni uzembe uliopitiliza
 
Awatimue wote
Kuanzia madiwani,wabunge na viongozi wa hayo maeneo hadi viongozi wa idara za maji za mkoa na wilaya na walioko wizarani na Waziri mwenyewe ni uzembe uliopitiliza
Kuna njia nyingi za kudeal na changamoto siyo lazima kufanya termination
 
Kuna njia nyingi za kudeal na changamoto siyo lazima kufanya termination
Termination ndio nzuri kushikisha adabu mtu ok hata demotion pia ruksa
Wizara ya maji Mwanza performance zero na wasimamizi wao wizarani ina maana wako zero
 
Termination ndio nzuri kushikisha adabu mtu ok hata demotion pia ruksa
Wizara ya maji Mwanza performance zero na wasimamizi wao wizarani ina maana wako zero
Mbona huku kwetu maji yanatoka vzuri tu

Hata huko mtafikiwa😁
 
MKUU umenikumbusha mbali sana, dah Usagara et hakuna maji ya uhakika duh!
Usagara mji mdogo ule wanatumia visima wakati ziwa liko karibu

Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni yaani hata Bukumbi wanatumia visima!! Ziwa liko hatua chache tu
 
Inaonekana shida ni eneo kubwa,hii ni taarifa mpya.
TAARIFA KWA WATEJA WANAOPATA MAJI KUPITIA KITUO CHA KUSUKUMA MAJI MABATINI

Kutakuwa na upungufu wa maji kwenye maeneo ya Igoma, Kishili, Shamaliwa, Nyakato Industrial area, Buzuruga, Mecco, Nyambiti, Nyamhongolo, Buswelu, Kangaye, Nyamwilekelwa, Nyasaka, Bugarika, Mhandu, Mahina, Nyangulugulu, Mahango C, Bujora na Kisesa kutokana na hitilafu ya Mitambo iliyojitokeza katika Kituo cha Kusukuma Maji cha Mabatini (Mabatini Booster Station).

Jitihada za matengenezo zinaendelea .

Tunaomba radhi kwa usumbufu uliyojitokeza

Imetolewa Tarehe 17 Juni, 2022 na:-
………………………………….
OFISI YA UHUSIANO MWAUWASA

Upatapo taarifa hii, tafadhali mfahamishe na mwingine



Upo mradi wa butimba pale utakapo kamilika,ndio unategemewa kuja kutatua tatizo la maji Kwa maeneo hayo.
Kiuhalisia bado mamlaka nyingi za maji zinakosa ubunifu na utendaji wenye tija kwa nchi.
Naamini kungekuwa na ushindani,mfano mtu binafsi akapewa eneo fulani awekeze na kupeleka huduma za maji,hawa wenzetu wangeshtuka na kufanya kazi kwa juhudi,maana wateja wangeenda kwa yule mwenye huduma nzuri.
 
Yani shida ya maji kwenye eneo lako unamwulizia Rais?

Kuna Mkuu wa wilaya, Mkuu wa Mkoa, Waziri wa maji, Waziri Mkuu

Lakini ukapanda hadi kulaumu kwa Rais?

Maajabu tatizo likiisha hamtaki apongezwe Rais
Mtu wa hivyo muulize kama hata mwenyekiti wake wa mtaa kama anamjua.
Watanzania.waliowengi hawajui mfumo wa serikali yao.

Hili ni tatizo kubwa kabisa.
Mbaya zaidi ccm kupitia wenyeviti wao wa vitongoji na vijiji hawataki kutoa elimu kwa watu wao.wanataka wawabuluze tu na kuiba kula kwenye chaguzi.
 
Waziri wa maji atimuliwe, unayo akili timamu wewe?

Sijakataa hoja zako nyingine, zinazohitaji kujibiwa; kwa hiyo usinilaumu kwa hayo maneno niliyoandika hapo juu.
Kama ziwa liko karibu watu wanatumiaje maji ya visima? Hata kama wana undugu kuna maneno ndugu yako ukimpa kazi hawezi tupa kule aweza kukuletea shida
Nchi ni zaidi ya Raisi awe Magufuli au Samia au yeyote
 
Back
Top Bottom