Kuingizwa kwa Mbowe kwenye haya mashitaka imekuwa faida sana kwa wale makomandoo waliokuwa ndani tayari kwa kesi hii.
Bila kuingizwa Mbowe wangefungwa ama wangekaa rumande kwa muda mrefu zaidi.
Swali ni Je, ni wangapi humu tunaweza kubambikiwa kesi halafu akaunganishwa Mbowe kwenye kesi yetu?
Hapo ndipo mtajua kwanini katiba mpya ni muhimu.
Kwenye nchi yenye watu zaidi ya milioni 60, watu wanaweza kukuweka ndani miaka mingi, halafu siku moja, jamaa waliokuweka ndani wakasema hatuna nia ya kuendelea na kesi, na mambo yakaishia hivyo tu.
Tutakapokuwa wakubwa tutadai uamuzi wa kutokuwa na nia ya kuendela na kesi uwe na maelezo ya sababu za kutosha.
Il kama kesi ilikuwa ya kubumba kuwe na watu wa kuwajibika. Kama kuna jinai kweli hukumu itoke kama wanavyohukumiwa wakosaji wengine wa kosa hilo.
Mbowe alikua na tuhuma za ugaidi, Sabaya anatuhuma za ujambazi...
Mipesa alioiba na kupora watu wanadai zaidi 600m kwa ujumla hapo kwa uchache.....akisamehewa basi serikali pia imlipie madeni yake yoteNi ujumbe kwa mama yetu na Rais wetu mpendwa KWAMBA
Ndugu Sabaya wakati akitekeleza majukumu ya ukuu wa wilaya HAI kibinadamu alifanikiwa na kibinadamu kuna sehemu alikosea.
SABAYA ametambua na amejutia makosa yake;
SABAYA amekuomba na kuomba msamaha; NA
Sisi watanzania hususan wanaccm tulionufaika na moja kwa moja na kazi za ujenzi wa chama zilizofanywa na SABAYA akiwa HAI tunamwombea msamaha. Haitakuwa mara ya kwanza kwa Serikali yetu kutoa huruma na msamaha "Babu Seya".
Baada ya mfungo mtukufu naomba usikie kilio cha SABAYA, familia yake, na Watanzania.
Nawasilisha
Ni ujumbe kwa mama yetu na Rais wetu mpendwa KWAMBA
Ndugu Sabaya wakati akitekeleza majukumu ya ukuu wa wilaya HAI kibinadamu alifanikiwa na kibinadamu kuna sehemu alikosea.
SABAYA ametambua na amejutia makosa yake;
SABAYA amekuomba na kuomba msamaha; NA
Sisi watanzania hususan wanaccm tulionufaika na moja kwa moja na kazi za ujenzi wa chama zilizofanywa na SABAYA akiwa HAI tunamwombea msamaha. Haitakuwa mara ya kwanza kwa Serikali yetu kutoa huruma na msamaha "Babu Seya".
Baada ya mfungo mtukufu naomba usikie kilio cha SABAYA, familia yake, na Watanzania.
Nawasilisha
Ni ujumbe kwa mama yetu na Rais wetu mpendwa KWAMBA
Ndugu Sabaya wakati akitekeleza majukumu ya ukuu wa wilaya HAI kibinadamu alifanikiwa na kibinadamu kuna sehemu alikosea.
SABAYA ametambua na amejutia makosa yake;
SABAYA amekuomba na kuomba msamaha; NA
Sisi watanzania hususan wanaccm tulionufaika na moja kwa moja na kazi za ujenzi wa chama zilizofanywa na SABAYA akiwa HAI tunamwombea msamaha. Haitakuwa mara ya kwanza kwa Serikali yetu kutoa huruma na msamaha "Babu Seya".
Baada ya mfungo mtukufu naomba usikie kilio cha SABAYA, familia yake, na Watanzania.
Nawasilisha
Sabaya hajamkoeea mama samia,sabaya kawakosea watanzania wote.Ni ujumbe kwa mama yetu na Rais wetu mpendwa KWAMBA
Ndugu Sabaya wakati akitekeleza majukumu ya ukuu wa wilaya HAI kibinadamu alifanikiwa na kibinadamu kuna sehemu alikosea.
SABAYA ametambua na amejutia makosa yake;
SABAYA amekuomba na kuomba msamaha; NA
Sisi watanzania hususan wanaccm tulionufaika na moja kwa moja na kazi za ujenzi wa chama zilizofanywa na SABAYA akiwa HAI tunamwombea msamaha. Haitakuwa mara ya kwanza kwa Serikali yetu kutoa huruma na msamaha "Babu Seya".
Baada ya mfungo mtukufu naomba usikie kilio cha SABAYA, familia yake, na Watanzania.
Nawasilisha