johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,532
- 141,334
Mwenyekiti wa CCM mh Rais Samia amesema ili kuongeza wigo wamependekeza Idadi ya Wajumbe wa Halmashauri kuu wanaopigiwa kura na mkutano mkuu iongezeke Kutoka 15 Bara na 15 Zanzibar na sasa wawe 20 Bara na 20 Zanzibar
Source : Ayo tv
Source : Ayo tv