mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,049
- 4,904
Wakuu, Rais wetu mara kadhaa amekuwa akiteuwa na kutengua teuzi zake, pia amekuwa akibadili majukumu ya viongozi mara kwa mara, mara hii hadi kaamua kumrejesha mtu aliwahi kumtumbua katika position ile ile!
Sasa maswali ni je, huwa anazingatia Nini hasa katika teuzi za viongozi mbalimbali?
Nini kinapelekea afanye mabadiliko ya mara kwa mara kiasi hicho?
Wajuvi wa mambo karibuni tutoane tongotongo.
Sasa maswali ni je, huwa anazingatia Nini hasa katika teuzi za viongozi mbalimbali?
Nini kinapelekea afanye mabadiliko ya mara kwa mara kiasi hicho?
Wajuvi wa mambo karibuni tutoane tongotongo.