JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,385
- 9,651
Mh. Rais Samia.
Nimesikiliza hotuba za hawa watu wawili, Makamba Jr (Jana) na Nape(Leo). Hawa watu wanajua kucheza na siasa ili mambo yao yakubirike kwa jamii. Ukiteleza kidogo tu wana wewe.
Ukiwaangalia kwa nje ni kama kondoo lakini kwa ndani wanalo jambo lao. Ni vile mimi nimeanza kukuelewa kwa uongozi wako na kwa vile nawajua hawa watu wawili nakushauri kuwa nao makini. Imebidi niandike hapa kwa kifupi baada ya kufutatilia nyendo zao kwa makini.
Kwanza wana watu wengi Nyuma yao na wanakubarika kwa hao watu.
Pili wana hasira sana na mambo yanavyoenda kwa maana wao kukosa nafasi katika uongozi wa nchi hii.
Tatu wanataka wapate fadhira kwa kuwa wazazi wao wamekuwa ndani ya chama kwa mda mrefu.
Nne, Kifo cha Magufuli kimewakatisha ndoto yao ya kuukwa urais 2025 kwa kuwa sasa ni wewe unagombea.
Nia yao hasa ni hiyo Nne. Bado haijafa kabisa.
Fuata Hotuba ya Joseph Gwajiba ya leo nawe utafanikiwa.
Nakushauri kuwa nao makini.
Nimesikiliza hotuba za hawa watu wawili, Makamba Jr (Jana) na Nape(Leo). Hawa watu wanajua kucheza na siasa ili mambo yao yakubirike kwa jamii. Ukiteleza kidogo tu wana wewe.
Ukiwaangalia kwa nje ni kama kondoo lakini kwa ndani wanalo jambo lao. Ni vile mimi nimeanza kukuelewa kwa uongozi wako na kwa vile nawajua hawa watu wawili nakushauri kuwa nao makini. Imebidi niandike hapa kwa kifupi baada ya kufutatilia nyendo zao kwa makini.
Kwanza wana watu wengi Nyuma yao na wanakubarika kwa hao watu.
Pili wana hasira sana na mambo yanavyoenda kwa maana wao kukosa nafasi katika uongozi wa nchi hii.
Tatu wanataka wapate fadhira kwa kuwa wazazi wao wamekuwa ndani ya chama kwa mda mrefu.
Nne, Kifo cha Magufuli kimewakatisha ndoto yao ya kuukwa urais 2025 kwa kuwa sasa ni wewe unagombea.
Nia yao hasa ni hiyo Nne. Bado haijafa kabisa.
Fuata Hotuba ya Joseph Gwajiba ya leo nawe utafanikiwa.
Nakushauri kuwa nao makini.