Rais Samia, Hotuba ya Nape na Makamba ni ya kutupumbaza watanzania. Wana jambo lao

Mtoa mada ni Gwajima mwenyewe!!
Gwajima hii nchi siyo ya ukoo wako,hii ni nchi yetu sote,kila mmoja ana haki ya kuwa kiongozi Cha msingi akidhi vigezo!!

Siku katiba inabadilishwa Basi mi ntapendekeza mtu yoyote anayeutaka ubunge walau awe na degree moja!

Yanayoendelea bungeni yanachefua moyo!
Wabunge wanaacha kujadili mustakabali wa taifa wanamjadili MAREHEMU!!
 
Mh. Rais Samia.

Nimesikiliza hotuba za hawa watu wawili, Makamba Jr (Jana) na Nape(Leo). Hawa watu wanajua kucheza na siasa ili mambo yao yakubirike kwa jamii. Ukiteleza kidogo tu wana wewe.

Ukiwaangalia kwa nje ni kama kondoo lakini kwa ndani wanalo jambo lao. Ni vile mimi nimeanza kukuelewa kwa uongozi wako na kwa vile nawajua hawa watu wawili nakushauri kuwa nao makini. Imebidi niandike hapa kwa kifupi baada ya kufutatilia nyendo zao kwa makini.

Kwanza wana watu wengi Nyuma yao na wanakubarika kwa hao watu.

Pili wana hasira sana na mambo yanavyoenda kwa maana wao kukosa nafasi katika uongozi wa nchi hii.

Tatu wanataka wapate fadhira kwa kuwa wazazi wao wamekuwa ndani ya chama kwa mda mrefu.

Nne, Kifo cha Magufuli kimewakatisha ndoto yao ya kuukwa urais 2025 kwa kuwa sasa ni wewe unagombea.

Nia yao hasa ni hiyo Nne. Bado haijafa kabisa.

Fuata Hotuba ya Joseph Gwajiba ya leo nawe utafanikiwa.

Nakushauri kuwa nao makini.
Upumbavu mtupu. Zero kabisa wewe.
 
Mtoa mada ni Gwajima mwenyewe!!
Gwajima hii nchi siyo ya ukoo wako,hii ni nchi yetu sote,kila mmoja ana haki ya kuwa kiongozi Cha msingi akidhi vigezo!!

Siku katiba inabadilishwa Basi mi ntapendekeza mtu yoyote anayeutaka ubunge walau awe na degree moja!

Yanayoendelea bungeni yanachefua moyo!
Wabunge wanaacha kujadili mustakabali wa taifa wanamjadili MAREHEMU!!wanatumia muda mwingi kujadili legacy za MAGUFULI wakati hizi ni zama mpya.

WAZIRI MKUU,KASSIM MAJALIWA,ungempisha Mama kwa ustaarabu ili Mama awe na AMANI anapofanya maamuzi.
 
Mh. Rais Samia.

Nimesikiliza hotuba za hawa watu wawili, Makamba Jr (Jana) na Nape(Leo). Hawa watu wanajua kucheza na siasa ili mambo yao yakubirike kwa jamii. Ukiteleza kidogo tu wana wewe.

Ukiwaangalia kwa nje ni kama kondoo lakini kwa ndani wanalo jambo lao. Ni vile mimi nimeanza kukuelewa kwa uongozi wako na kwa vile nawajua hawa watu wawili nakushauri kuwa nao makini. Imebidi niandike hapa kwa kifupi baada ya kufutatilia nyendo zao kwa makini.

Kwanza wana watu wengi Nyuma yao na wanakubarika kwa hao watu.

Pili wana hasira sana na mambo yanavyoenda kwa maana wao kukosa nafasi katika uongozi wa nchi hii.

Tatu wanataka wapate fadhira kwa kuwa wazazi wao wamekuwa ndani ya chama kwa mda mrefu.

Nne, Kifo cha Magufuli kimewakatisha ndoto yao ya kuukwa urais 2025 kwa kuwa sasa ni wewe unagombea.

Nia yao hasa ni hiyo Nne. Bado haijafa kabisa.

Fuata Hotuba ya Joseph Gwajiba ya leo nawe utafanikiwa.

Nakushauri kuwa nao makini.
Nyie wasukuma mmechanganyikiwa sana! Umeandika upupu mtupu.
 
Nyie wasukuma mmechanganyikiwa sana! Umeandika upupu mtupu.
Hapana mkuu wasukuma ni watu wataratibu na wapole mno, sema kabila letu lilivamiwa na banyamurenge, hawa wamezaliwa usukumani lakini kiasili ni watu wa Rwanda na Burundi.
 
Mtawasingizia bure Nnape na Makamba Mama nyoka anao na amelala nao Hana habari. Inavyoonyesha hii nafasi imegombewa na wengi,kuna Wana CCM hawaamini Mama Samia kawa Rais.
 
Mh. Rais Samia.

Nimesikiliza hotuba za hawa watu wawili, Makamba Jr (Jana) na Nape(Leo). Hawa watu wanajua kucheza na siasa ili mambo yao yakubirike kwa jamii. Ukiteleza kidogo tu wana wewe.

Ukiwaangalia kwa nje ni kama kondoo lakini kwa ndani wanalo jambo lao. Ni vile mimi nimeanza kukuelewa kwa uongozi wako na kwa vile nawajua hawa watu wawili nakushauri kuwa nao makini. Imebidi niandike hapa kwa kifupi baada ya kufutatilia nyendo zao kwa makini.

Kwanza wana watu wengi Nyuma yao na wanakubarika kwa hao watu.

Pili wana hasira sana na mambo yanavyoenda kwa maana wao kukosa nafasi katika uongozi wa nchi hii.

Tatu wanataka wapate fadhira kwa kuwa wazazi wao wamekuwa ndani ya chama kwa mda mrefu.

Nne, Kifo cha Magufuli kimewakatisha ndoto yao ya kuukwa urais 2025 kwa kuwa sasa ni wewe unagombea.

Nia yao hasa ni hiyo Nne. Bado haijafa kabisa.

Fuata Hotuba ya Joseph Gwajiba ya leo nawe utafanikiwa.

Nakushauri kuwa nao makini.
Wasukuma bhana


Eti fuata hotuba ya josephat gwajima
 
Nilichogundua kuna akili ndogo zinamwogopa January, January ni smart na anauwezo mkubwa wa kushawishi na kujenga hoja. Ni Tunu kwa Taifa kuwa na mtu kama January. January ni hazina ya Taifa. Kama kuna mtu hakumuelewa katika mchango wake Bungeni, Mtu huyo apimwe akili.
 
Acha ukabila. Huu Utagawa taifa letu.

Andika point.
Wasukuma sio watu wa kuwapa nchi tena, yaani wamepewa miaka mitano tu wamesha aminishana kwamba nchi hii ni yao washenzi kabisa afadhari kinara wao aliye walisha ujinga izraeli kaamua kumtwaa mapema kabla ya kusababisha majanga makubwa zaid ya haya aliyo yaacha.
 
mbna umawapangia watu cha kuzungumza???ucwe ngchiro weeeeeeee
Mh. Rais Samia.

Nimesikiliza hotuba za hawa watu wawili, Makamba Jr (Jana) na Nape(Leo). Hawa watu wanajua kucheza na siasa ili mambo yao yakubirike kwa jamii. Ukiteleza kidogo tu wana wewe.

Ukiwaangalia kwa nje ni kama kondoo lakini kwa ndani wanalo jambo lao. Ni vile mimi nimeanza kukuelewa kwa uongozi wako na kwa vile nawajua hawa watu wawili nakushauri kuwa nao makini. Imebidi niandike hapa kwa kifupi baada ya kufutatilia nyendo zao kwa makini.

Kwanza wana watu wengi Nyuma yao na wanakubarika kwa hao watu.

Pili wana hasira sana na mambo yanavyoenda kwa maana wao kukosa nafasi katika uongozi wa nchi hii.

Tatu wanataka wapate fadhira kwa kuwa wazazi wao wamekuwa ndani ya chama kwa mda mrefu.

Nne, Kifo cha Magufuli kimewakatisha ndoto yao ya kuukwa urais 2025 kwa kuwa sasa ni wewe unagombea.

Nia yao hasa ni hiyo Nne. Bado haijafa kabisa.

Fuata Hotuba ya Joseph Gwajiba ya leo nawe utafanikiwa.

Nakushauri kuwa nao makini.
 
Acha ukabila. Huu Utagawa taifa letu.

Andika point.
Mbona Mwendazake alipokua analigawa Taifa hukukemea? Nyufa alizoziacha zitakawia sana kuziba. Kaligawa Taifa kama Taifa, pia kakigawa hadi chama chake CCM. Huko bungeni wabunge wa bunge la CCM, wanaparuana balaaa. Hiyo ndiyo mbegu aliyoipanda JPM sasa inaota.
 
Mbona Mwendazake alipokua analigawa Taifa hukukemea? Nyufa alizoziacha zitakawia sana kuziba. Kaligawa Taifa kama Taifa, pia kakigawa hadi chama chake CCM. Huko bungeni wabunge wa bunge la CCM, wanaparuana balaaa. Hiyo ndiyo mbegu aliyoipanda JPM sasa inaota.
Hauna uthibitisho kwenye hili ila propaganda tu ndizo zina kufanya uandike haya.
 
Wasukuma sio watu wa kuwapa nchi tena, yaani wamepewa miaka mitano tu wamesha aminishana kwamba nchi hii ni yao washenzi kabisa afadhari kinara wao aliye walisha ujinga izraeli kaamua kumtwaa mapema kabla ya kusababisha majanga makubwa zaid ya haya aliyo yaacha.
Huu utakuwa wivu kwa wasukuma. Na walivyo wengi utapasuka tu.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom