Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upumbavu mtupu. Zero kabisa wewe.Mh. Rais Samia.
Nimesikiliza hotuba za hawa watu wawili, Makamba Jr (Jana) na Nape(Leo). Hawa watu wanajua kucheza na siasa ili mambo yao yakubirike kwa jamii. Ukiteleza kidogo tu wana wewe.
Ukiwaangalia kwa nje ni kama kondoo lakini kwa ndani wanalo jambo lao. Ni vile mimi nimeanza kukuelewa kwa uongozi wako na kwa vile nawajua hawa watu wawili nakushauri kuwa nao makini. Imebidi niandike hapa kwa kifupi baada ya kufutatilia nyendo zao kwa makini.
Kwanza wana watu wengi Nyuma yao na wanakubarika kwa hao watu.
Pili wana hasira sana na mambo yanavyoenda kwa maana wao kukosa nafasi katika uongozi wa nchi hii.
Tatu wanataka wapate fadhira kwa kuwa wazazi wao wamekuwa ndani ya chama kwa mda mrefu.
Nne, Kifo cha Magufuli kimewakatisha ndoto yao ya kuukwa urais 2025 kwa kuwa sasa ni wewe unagombea.
Nia yao hasa ni hiyo Nne. Bado haijafa kabisa.
Fuata Hotuba ya Joseph Gwajiba ya leo nawe utafanikiwa.
Nakushauri kuwa nao makini.
Nyie wasukuma mmechanganyikiwa sana! Umeandika upupu mtupu.Mh. Rais Samia.
Nimesikiliza hotuba za hawa watu wawili, Makamba Jr (Jana) na Nape(Leo). Hawa watu wanajua kucheza na siasa ili mambo yao yakubirike kwa jamii. Ukiteleza kidogo tu wana wewe.
Ukiwaangalia kwa nje ni kama kondoo lakini kwa ndani wanalo jambo lao. Ni vile mimi nimeanza kukuelewa kwa uongozi wako na kwa vile nawajua hawa watu wawili nakushauri kuwa nao makini. Imebidi niandike hapa kwa kifupi baada ya kufutatilia nyendo zao kwa makini.
Kwanza wana watu wengi Nyuma yao na wanakubarika kwa hao watu.
Pili wana hasira sana na mambo yanavyoenda kwa maana wao kukosa nafasi katika uongozi wa nchi hii.
Tatu wanataka wapate fadhira kwa kuwa wazazi wao wamekuwa ndani ya chama kwa mda mrefu.
Nne, Kifo cha Magufuli kimewakatisha ndoto yao ya kuukwa urais 2025 kwa kuwa sasa ni wewe unagombea.
Nia yao hasa ni hiyo Nne. Bado haijafa kabisa.
Fuata Hotuba ya Joseph Gwajiba ya leo nawe utafanikiwa.
Nakushauri kuwa nao makini.
Misukule imemshinda huko kuifufua kakimbiia CCM!!Kama Gwajima amekuwa mtu wa kusikilizwa ndani ya chama chenu basi mmefika mwisho wa kufikiri
Hapana mkuu wasukuma ni watu wataratibu na wapole mno, sema kabila letu lilivamiwa na banyamurenge, hawa wamezaliwa usukumani lakini kiasili ni watu wa Rwanda na Burundi.Nyie wasukuma mmechanganyikiwa sana! Umeandika upupu mtupu.
Wasukuma bhanaMh. Rais Samia.
Nimesikiliza hotuba za hawa watu wawili, Makamba Jr (Jana) na Nape(Leo). Hawa watu wanajua kucheza na siasa ili mambo yao yakubirike kwa jamii. Ukiteleza kidogo tu wana wewe.
Ukiwaangalia kwa nje ni kama kondoo lakini kwa ndani wanalo jambo lao. Ni vile mimi nimeanza kukuelewa kwa uongozi wako na kwa vile nawajua hawa watu wawili nakushauri kuwa nao makini. Imebidi niandike hapa kwa kifupi baada ya kufutatilia nyendo zao kwa makini.
Kwanza wana watu wengi Nyuma yao na wanakubarika kwa hao watu.
Pili wana hasira sana na mambo yanavyoenda kwa maana wao kukosa nafasi katika uongozi wa nchi hii.
Tatu wanataka wapate fadhira kwa kuwa wazazi wao wamekuwa ndani ya chama kwa mda mrefu.
Nne, Kifo cha Magufuli kimewakatisha ndoto yao ya kuukwa urais 2025 kwa kuwa sasa ni wewe unagombea.
Nia yao hasa ni hiyo Nne. Bado haijafa kabisa.
Fuata Hotuba ya Joseph Gwajiba ya leo nawe utafanikiwa.
Nakushauri kuwa nao makini.
Kama ilivyo mgamdisha mwendazakeMbowe karibu damu itaganda kwa chanjo.
Wasukuma sio watu wa kuwapa nchi tena, yaani wamepewa miaka mitano tu wamesha aminishana kwamba nchi hii ni yao washenzi kabisa afadhari kinara wao aliye walisha ujinga izraeli kaamua kumtwaa mapema kabla ya kusababisha majanga makubwa zaid ya haya aliyo yaacha.Acha ukabila. Huu Utagawa taifa letu.
Andika point.
Mh. Rais Samia.
Nimesikiliza hotuba za hawa watu wawili, Makamba Jr (Jana) na Nape(Leo). Hawa watu wanajua kucheza na siasa ili mambo yao yakubirike kwa jamii. Ukiteleza kidogo tu wana wewe.
Ukiwaangalia kwa nje ni kama kondoo lakini kwa ndani wanalo jambo lao. Ni vile mimi nimeanza kukuelewa kwa uongozi wako na kwa vile nawajua hawa watu wawili nakushauri kuwa nao makini. Imebidi niandike hapa kwa kifupi baada ya kufutatilia nyendo zao kwa makini.
Kwanza wana watu wengi Nyuma yao na wanakubarika kwa hao watu.
Pili wana hasira sana na mambo yanavyoenda kwa maana wao kukosa nafasi katika uongozi wa nchi hii.
Tatu wanataka wapate fadhira kwa kuwa wazazi wao wamekuwa ndani ya chama kwa mda mrefu.
Nne, Kifo cha Magufuli kimewakatisha ndoto yao ya kuukwa urais 2025 kwa kuwa sasa ni wewe unagombea.
Nia yao hasa ni hiyo Nne. Bado haijafa kabisa.
Fuata Hotuba ya Joseph Gwajiba ya leo nawe utafanikiwa.
Nakushauri kuwa nao makini.
Alisemalo mjinga ndilo litakalo tokea..! Ana haki ya kusikilizwa bwa nduguKama Gwajima amekuwa mtu wa kusikilizwa ndani ya chama chenu basi mmefika mwisho wa kufikiri
Mbona Mwendazake alipokua analigawa Taifa hukukemea? Nyufa alizoziacha zitakawia sana kuziba. Kaligawa Taifa kama Taifa, pia kakigawa hadi chama chake CCM. Huko bungeni wabunge wa bunge la CCM, wanaparuana balaaa. Hiyo ndiyo mbegu aliyoipanda JPM sasa inaota.Acha ukabila. Huu Utagawa taifa letu.
Andika point.
Endelea kusubiri igande,wakati Magufuli alidanganywa matokeo yake Covid ikapiga shot betriMbowe karibu damu itaganda kwa chanjo.
Hauna uthibitisho kwenye hili ila propaganda tu ndizo zina kufanya uandike haya.Mbona Mwendazake alipokua analigawa Taifa hukukemea? Nyufa alizoziacha zitakawia sana kuziba. Kaligawa Taifa kama Taifa, pia kakigawa hadi chama chake CCM. Huko bungeni wabunge wa bunge la CCM, wanaparuana balaaa. Hiyo ndiyo mbegu aliyoipanda JPM sasa inaota.
Huu utakuwa wivu kwa wasukuma. Na walivyo wengi utapasuka tu.Wasukuma sio watu wa kuwapa nchi tena, yaani wamepewa miaka mitano tu wamesha aminishana kwamba nchi hii ni yao washenzi kabisa afadhari kinara wao aliye walisha ujinga izraeli kaamua kumtwaa mapema kabla ya kusababisha majanga makubwa zaid ya haya aliyo yaacha.