Mama atanielewa. Ila wewe hutaweza.Wewe mwenyewe unaligawa taifa kwa kumchagulia Mama amuamini nani na nani asimuamini !! . Hoja zao ni nzuri kuliko kina Msukuma na Kibajaji, wanaolazimisha mawazo yao kuwa itikadi ya nchi.
Odhis *
Wameambiwa mijadala yao haina afya kwa nchi na wananchi (Samia )Mama atanielewa. Ila wewe hutaweza.