KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Anafungua nchi na hata funguo anatupa mbali; mradi amefungua tu nchi!^Nafungua nchi^
Even the hyper-power USA would never agree with this reckless move!!!
Asubiri tu ataona kitakachofuata.
Anafungua nchi na hata funguo anatupa mbali; mradi amefungua tu nchi!^Nafungua nchi^
Even the hyper-power USA would never agree with this reckless move!!!
Ajira zenyewe ziko wapi za kusem zitakufa?Ninacho jua mimi kila nchi ina sera ya kulinda soko la ndani, kiasi fulani ina achia bidhaa za nje kiasi flani una linda soko la ndani, Sasa wacha mama afungue bila mipango dhabiti baada ya 2 years viwanda vyote vitakufa na ajira zitakufa then tutakua soko la nchi jiran, hata ulaya hawa soko lisolo na kikomo kama mama yenu anavyotaka
Sio hizo..nataka jua bidhaa zetu zilizoongezwa thamani kule tunauza zaidi kama nini?..Mahindi.
..Tanzania ina-supply kiasi kidogo sana cha mahindi ambayo K inaagiza toka nje.
..wakulima wa mahindi wa Tanzania wanatakiwa waongeze uzalishaji kwasababu kuna mahitaji makubwa Kenya.
You can not plan business growth with policy uncertainty,policies should be competitively and harmonizedManufacturing industry ya tz ipo nyuma tunakubali, imelindwa takribani miaka 60 lkn haikui, je tuilinde mpaka lini? Goals na strategies za kukuza industry tz tangia Uhuru zipo ktk mfumo wa short, medium na long plan lkn tafiti zinaonyesha hatujafanikiwa walau hata kwa 30% kulinganisha na kenya , je tuendelee mpaka lini kuwa watu wa plan hewa?
Mzee mjinga huyo, anakuambia watz tutauza mahindi, mahaba yake ya siasa yameshampa upofu. Kuilinda manufacturing industry ya Tz ni jukuma la serikali, unavyoiletea ushindani wakati bado haijasimama sawa maana yake unataka kuiua. Tayari tuna soko kubwa la SADC , kwa nini ulete ushindani usio na afya ili kuwafurahisha tu wakenya.Sio hizo..nataka jua bidhaa zetu zilizoongezwa thamani kule tunauza zaidi kama nini?
Nyie ndo mnaulizia wenzenu wamechaguliwa kwenda form five kwenda wapiAondoe na ushuru kwenye bidhaa za maziwa kutoka nje ili wenye viwanda vya maziwa wakina ASAS, na wewnzie.....wajute na wakipate cha mtema kuni...... maana hawa wenye viwanda vya maziwa walikuwa ni mawakala wa mwendazake wametuchelewesha sana
nani kakwambia walikuwa hawauzi? nani kakwambia kenya walikuwa hawaleti? nikwambie tuu ili kulinda viwanda vya ndani hasa kwa bidhaa zinazo zalishwa nchini hasa juice, ngano maziwa n.kKwani tanzania hakuna viwanda vya juice na ngano vinavyoweza kuuza Kenya? Acheni hizo sera zenu za kizamani!
Sasa akina AZAM wataweza na wao kuuza juice zao na ngano Kenya. Bidhaa za AZAM zina ubora wa kushindana na kuzidi hata za Kenya.
Yaani hawa jamaa wamezoea kutulazimisha kununua bidhaa feki nchini zikiwa substandards , tena kwa bei ya juu wakijua hatuna namna... wacha wafundishwe kuwa siku zote ' mteja ni mfalme' na mteja mwisho wa siku utafuta value for money.....mibidhaa feki ya China imetapakaa mtaani tena kwa bei ghali, ajabu wabongo mnalazimisha serikali imkazie Kenya kwa vijisababu uchwara.
I agree with you!You can not plan business growth with policy uncertainty,policies should be competitively and harmonized
Mkuu wataisoma namba kivipi? This is fear of unknown. Umekiri kuwa tz tunauza Kenya na Kenya wanauza tz, ila bidhaa zinatozwa Kodi pande zote. Swali kama kutakuwa na free duty pande zote kipi kitaifanya tz ishindwe kuendelea kuuza Kenya kama iliweza kuuza wakati wa Kodi?nani kakwambia walikuwa hawauzi? nani kakwambia kenya walikuwa hawaleti? nikwambie tuu ili kulinda viwanda vya ndani hasa kwa bidhaa zinazo zalishwa nchini hasa juice,ngano maziwa n.k...
Kiongozi wako anaongoza malaika huko🤣^Nafungua nchi^
Even the hyper-power USA would never agree with this reckless move!!!
We jamaa ni primitive Sana sekta ya kilimo inayotoa 70% ya ajira unaidharau, umekomaa na sekta ya viwanda ambayo imechangia % ndogo ya ajira nchini, kwani tukikaza na agricultural products hatutengenezi ajira? Kwani tukikomaa na kuuza bidhaa za mashambani hatutengenezi pato la nchi? Watz tumelogwa na nani? Wacha hizo bidhaa za Kenya zije ili viwanda vya tz wapanue akili za ubunifu.Mzee mjinga huyo, anakuambia watz tutauza mahindi, mahaba yake ya siasa yameshampa upofu. Kuilinda manufacturing industry ya Tz ni jukuma la serikali, unavyoiletea ushindani wakati bado haijasimama sawa maana yake unataka kuiua. Tayari tuna soko kubwa la SADC , kwa nini ulete ushindani usio na afya ili kuwafurahisha tu wakenya.
Kwa akili hizi hizi basi aruhusu na watanzania bara wakamiliki ardhi Zenji, tuone kama after 5 yrs wazenji watakuwa na ardhi, tuna kiongozi vision less na hopeless kabisa.
Kilimo ndo kimetoa ajira nyingi nchini kuliko kitu chochote,so kama masoko yapo ya uhakika hii ni biashara nzuri..au watu wakiuza mazao hawapati fedha na kuboresha hali zao za maisha?..unakalia kulilia vitu vidogo vya sijui ajira viwandani..ajira hizo ni kiasi gani?Mzee mjinga huyo, anakuambia watz tutauza mahindi, mahaba yake ya siasa yameshampa upofu. Kuilinda manufacturing industry ya Tz ni jukuma la serikali, unavyoiletea ushindani wakati bado haijasimama sawa maana yake unataka kuiua. Tayari tuna soko kubwa la SADC , kwa nini ulete ushindani usio na afya ili kuwafurahisha tu wakenya.
Kwa akili hizi hizi basi aruhusu na watanzania bara wakamiliki ardhi Zenji, tuone kama after 5 yrs wazenji watakuwa na ardhi, tuna kiongozi vision less na hopeless kabisa.
1989....Upuuzi mtupu, hata USA haikubali bidhaa zote kutoka China na Ulaya, ni jukumu la serikali kulinda viwanda na ajira za watz, SSH hajitambui wala hajui anachotaka hasa ni nini ? Yaani sisi tunapeleke mahindi Kenya halafu wao wanaleta finished products na anachekelea.
Kwani huwa ukienda kununua blue band ya kenya dukani unapewa bure? Hivyo vitu tutavinunua dukani na maduka yatalipa kodi maana serikali haitaleta vitu kutoka kenya na kugawa majumbani kwetu bure, maisha yapo juu sana tunahitaji bidhaa zipungue bei Ili watu wengi wamudu kununua.China hakuna duty free na Tz, bidhaa za China zinaingia kwa kodi Tz, sasa kwa nini unataka bidhaa za Kenya ziingie Tz bila kodi? Narudia ni Rais mjinga tu anayekubali kuua manufacturing industry ya nchi yake ili aweze kuuza mahindi Kenya.
Kuruhusu bidhaa kuingia hovyo Tz ndio changamoto ya wafanyabiashara au watanzania, kwa kuruhusu hivi ameua ajira ngapi za viwandani Tz, SSH ni Rais wa watanzania sio Kenya, atulize akili aache kukurupuka kukubali tu ovyo ovyo chochote anacho ombwa na hao wakenya.
Ni kama tumekalilishwa na 'industrial model' kama ndo development strategy yetu pekee. hii model ya viwanda ilishashidikana kwa miaka 60 sasa, tukubaliane na 'comparative advantage' stýle kwetu na kwa majilani wetu.We jamaa ni primitive Sana sekta ya kilimo inayotoa 70% ya ajira unaidharau, umekomaa na sekta ya viwanda ambayo imechangia % ndogo ya ajira nchini, kwani tukikaza na agricultural products hatutengenezi ajira? Kwani tukikomaa na kuuza bidhaa za mashambani hatutengenezi pato la nchi? Watz tumelogwa na nani? Wacha hizo bidhaa za Kenya zije ili viwanda vya tz wapanue akili za ubunifu.
Wakati wa Jumuia ya Afrika Mashariki iliyovunjwa na WanasiasaWakenya walianza zamani kuleta bidhaa zao tena wakati sisi bado tumelala fofofo.
Miaka ya sabini zilikuwa zunakuja gari zao zenye bidhaa kila aina na pia madawa ya binadamu.
Walikuwa wanazunguka nchi nzima wakisambaza bidhaa zao
Kweli nimekumbuka mbali sana.
Kila jioni wanaonyesha sinema baada ya kukusanya hela siku nzima
Kama karuhusu ni mwendelezo tu