Rais Samia hongera sana kwa kuruhusu bidhaa za Kenya kuanza kuingia Tanzania

Hao wakenya wanataka kumpamba tu mama kishamba sijui wana agenda gani ya muda mrefu.

Jana tena tumesikia waziri wa biashara sijui wakilimo wamekutana na wenzao wa Kenya kujadili trade; hivi si tulisha sign ‘common market treaty’ ya EAC mwaka 2010 kufanya biashara zisizo na mipaka au.

Sasa hizi mbwembwe ni za nini as if ni jambo jipya kabisa.
 
Kwa wale tunaoishi mpakani hii na nafuu kwetu kubwa sana, mipakani mfano Tarime Vijijini kukutana na vifaa vya Tanzania ni nadra sana. Hii itatusaidia upande wa ujenzi (cement), mafuta ya kula maana Kenya vina bei nafuu sana, sabuni, chumvi..!
Pia Kenya kuna soko nzuri sana la kuuza mahindi
 
Kwa wale tunaoishi mpakani hii na nafuu kwetu kubwa sana, mipakani mfano Tarime Vijijini kukutana na vifaa vya Tanzania ni nadra sana. Hii itatusaidia upande wa ujenzi (cement), mafuta ya kula maana Kenya vina bei nafuu sana, sabuni, chumvi..!
Pia Kenya kuna soko nzuri sana la kuuza mahindi
Unless unanunua hizo bidhaa kwa mzalishaji kwa sababu ya kuja kufanyia biashara Tanzania.

Lakini watanzania kwenda kununua bidhaa za matumizi yao ya kila siku Kenya kiholela hizo VAT na kodi zingine zinaenda kwenye serikali yao; hakuna serikali itakubali utaratibu huo.
 
Mama Samia popote ulipo nakupa hongera Sana kwa hatua hii uliyofikia.
Mimi naweza kuwa tofauti na wengine kwenye kuliangalia hili suala. Bidhaa nyingi za ndani hazina ubora kabisa hivyo kuanza kuruhusu bidhaa za Kenya kuanza kuingia ni hatua kubwa na ambayo itawaamsha usingizini wafanyabiashara wa bongo kuanza kutengeneza bidhaa kwa ubora mkubwa sana.
Mfano hadi Sasa bidhaa Kama juices, unga wa ngano n.k zimesharuhusiwa kuingia Tena bila inspection fee, maana yake ni kuwa hivyo vitu huku tutavipata kwa Bei ndogo na hivyo kufanya bidhaa zinazozalishwa nchini nazo kupungua Bei na hatimaye kupunguza inflation.
Hii ni hatua nzuri Sana Mama Samia, wenye viwanda ni wakati wao Sasa wa kunoa vichwa na kutengeneza bidhaa Bora ili kupambana na hizo za wakenya.
Hii ni survival of the fittest, wataoweza kupambana na bidhaa za Kenya wapambane na wataoshindwa basi ruksa kufunga hivyo viwanda.
Miaka mingi tumelia ubora wa bidhaa za ndani , Sasa Mama kaja kafungua nchi hivyo hii ichukuliwe Kama challenge kwenye nyie wenye viwanda ambao mlikuwa mnazalisha juice zisizo na ubora au mnazalisha unga kwa bei kubwa.
Kongole Mama Samia, kazi iendelee........
View attachment 1805046
Kweli nchi iimefunguliwa....Yaani juice?! Dah...ok...
 
Aondoe na ushuru kwenye bidhaa za maziwa kutoka nje ili wenye viwanda vya maziwa wakina ASAS, na wewnzie.....wajute na wakipate cha mtema kuni...... maana hawa wenye viwanda vya maziwa walikuwa ni mawakala wa mwendazake wametuchelewesha sana
nimefikiria sana kauli yako mkuu nimekuelewa...maana hatujui kwa nn sisi maskini
 
Mama Samia popote ulipo nakupa hongera Sana kwa hatua hii uliyofikia.
Mimi naweza kuwa tofauti na wengine kwenye kuliangalia hili suala. Bidhaa nyingi za ndani hazina ubora kabisa hivyo kuanza kuruhusu bidhaa za Kenya kuanza kuingia ni hatua kubwa na ambayo itawaamsha usingizini wafanyabiashara wa bongo kuanza kutengeneza bidhaa kwa ubora mkubwa sana.
Mfano hadi Sasa bidhaa Kama juices, unga wa ngano n.k zimesharuhusiwa kuingia Tena bila inspection fee, maana yake ni kuwa hivyo vitu huku tutavipata kwa Bei ndogo na hivyo kufanya bidhaa zinazozalishwa nchini nazo kupungua Bei na hatimaye kupunguza inflation.
Hii ni hatua nzuri Sana Mama Samia, wenye viwanda ni wakati wao Sasa wa kunoa vichwa na kutengeneza bidhaa Bora ili kupambana na hizo za wakenya.
Hii ni survival of the fittest, wataoweza kupambana na bidhaa za Kenya wapambane na wataoshindwa basi ruksa kufunga hivyo viwanda.
Miaka mingi tumelia ubora wa bidhaa za ndani , Sasa Mama kaja kafungua nchi hivyo hii ichukuliwe Kama challenge kwenye nyie wenye viwanda ambao mlikuwa mnazalisha juice zisizo na ubora au mnazalisha unga kwa bei kubwa.
Kongole Mama Samia, kazi iendelee........
View attachment 1805046
Wachumi tafadhali njoo kwanza mshushe nondo kwanza , imekaa vipi? Faida na mapungufu
 
Kweli ni fake mno na bila kusahau ubora na uzuri wa mwonekano, bei juu na taste kubadilika kila mara kwenye bidhaa hiyo hiyo, utamu pia Kama ni bidhaa ya kula haupo.
Tangia lini mtoto akatembea bila kutambaa

Nchi hii imefanyiwa figisu nyingi tangu ukoloni na wawekezaji wa kikoloni ili tuwe soko kwa bidhaa za Kenya

Nyie shabikieni ila madhara yake yatakutafuna wewe mpaka ukoo wako

Nchi hii tunahitaji kiongozi anaetambua wapo tumetoka na wapi tunaenda

Sasa nyie fungeni kanga kiunoni, chezeni kigodoro huku viwanda vya ndani vikifa na wananchi wakikosa ajira
 
Niko naelekea Kenya kesho nikitokea Kolomije, tutabanana nao tu hawa Kenya. Dua zenu
 
Tangia lini mtoto akatembea bila kutambaa

Nchi hii imefanyiwa figisu nyingi tangu ukoloni na wawekezaji wa kikoloni ili tuwe soko kwa bidhaa za Kenya

Nyie shabikieni ila madhara yake yatakutafuna wewe mpaka ukoo wako

Nchi hii tunahitaji kiongozi anaetambua wapo tumetoka na wapi tunaenda

Sasa nyie fungeni kanga kiunoni, chezeni kigodoro huku viwanda vya ndani vikifa na wananchi wakikosa ajira
Kwani sisi tumezuiwa kuzalisha?
 
Upuuzi mtupu, hata USA haikubali bidhaa zote kutoka China na Ulaya, ni jukumu la serikali kulinda viwanda na ajira za watz, SSH hajitambui wala hajui anachotaka hasa ni nini ? Yaani sisi tunapeleke mahindi Kenya halafu wao wanaleta finished products na anachekelea.
 
Tangia lini mtoto akatembea bila kutambaa

Nchi hii imefanyiwa figisu nyingi tangu ukoloni na wawekezaji wa kikoloni ili tuwe soko kwa bidhaa za Kenya

Nyie shabikieni ila madhara yake yatakutafuna wewe mpaka ukoo wako

Nchi hii tunahitaji kiongozi anaetambua wapo tumetoka na wapi tunaenda

Sasa nyie fungeni kanga kiunoni, chezeni kigodoro huku viwanda vya ndani vikifa na wananchi wakikosa ajira
Acheni kukariri notisi za fomu two, miaka 30 mtoto badogo tu anatambaa? Hatuwezi miaka nenda rudi tunakumbatia Sera mbovu za kulinda kundi dogo huku tukiumiza kundi kubwa hapana kwa kweli, yaani tufanye protectinism kwa ajiri viwanda kuhofia ajira za raia elf10 huku tukiumiza mamilioni ya raia kwa kuwalisha bidhaa feki na ghali, kwa kweli hapana.
 
Back
Top Bottom