Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,173
- 27,223
Moja kwa moja nimpe mama Samia hongera kwa kurekebisha makosa yaliyofanyika kwenye teuzi za makatibu tawala na zile za wakurugenzi wa mashirika mfano ile teuzi ya DG wa TPDC.
Ni wazi Kuna majina mama anayopewa ya teuzi yakiwa na makosa. Ieleweke mama Samia hawezi kuwajua watu wote hivyo ni wazi lazima wengine awe hajui historia zao. Juzi aliteua makatibu tawala na kwa bahati mbaya kulikuwa na jina la Azza Hilal Hamad ambae aliteuliwa kuwa katibu tawala mkoa wa simiyu.
Hapa kulikuwa na tatizo kwa kuwa elimu ya huyu Azza ni ndogo na isingekuwa vyema kwenda kuwa katibu tawala. Katibu Tawala mkoa ndio mtendaji, anahitaji mwenye elimu ni Bora ingekuwa nafasi ya mkuu wa mkoa au wilaya maana hizo hazihitaji Sana wasomi.
Mama Samia pia angalia kwa jicho la pili aina ya majina unayoletewa maana hii ikiendelea utawapa nafasi wapinzani wako wapate upenyo wa kukutukana Sana.
Nakupongeza sana kwa kurekebisha haya makosa mapema sana, maana wengeenda huko kazini ingekuwa ni kituko. Pia Kama Kuna wengine uliletewa majina na hawapo vizuri watengue tu, ni Bora lawama kuliko fedheha.
Ni wazi Kuna majina mama anayopewa ya teuzi yakiwa na makosa. Ieleweke mama Samia hawezi kuwajua watu wote hivyo ni wazi lazima wengine awe hajui historia zao. Juzi aliteua makatibu tawala na kwa bahati mbaya kulikuwa na jina la Azza Hilal Hamad ambae aliteuliwa kuwa katibu tawala mkoa wa simiyu.
Hapa kulikuwa na tatizo kwa kuwa elimu ya huyu Azza ni ndogo na isingekuwa vyema kwenda kuwa katibu tawala. Katibu Tawala mkoa ndio mtendaji, anahitaji mwenye elimu ni Bora ingekuwa nafasi ya mkuu wa mkoa au wilaya maana hizo hazihitaji Sana wasomi.
Mama Samia pia angalia kwa jicho la pili aina ya majina unayoletewa maana hii ikiendelea utawapa nafasi wapinzani wako wapate upenyo wa kukutukana Sana.
Nakupongeza sana kwa kurekebisha haya makosa mapema sana, maana wengeenda huko kazini ingekuwa ni kituko. Pia Kama Kuna wengine uliletewa majina na hawapo vizuri watengue tu, ni Bora lawama kuliko fedheha.