Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,796
- 12,239
Rais ni Samia na siyo taasisi! Ingekuwa taasisi haya makosa yasingejirudia. Urais hauna ubia kwa hiyo lawama zote kwa Samia!Halafu anakuja kuwajua baada ya kuwateua? Au anawajua baada ya watu kuanza kuwachambua mitandaoni? Hapa pana tatizo. Tukumbuke Rais ni taasisi.