sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Kwanza nianze kumpongeza Mh Rais kwa siku yake ya kuzaliwa,binafis Huwa sisherekei siku kuu ya kuzaliwa kwangu kamwe na sito fanya hivyo kamwe Iko siku nitaeleza.
Naomba nielezee kisa kimoja kilichowai niumiza Sanaa dhidi ya Bendera ya nchi ya Tanzania.
Siku moja nilikuwa pale osterbay polisi dar esalaam uwanjani naangalia Mpira ilipofika saa kumi na mbili ilipigwa filimbi Ili ishushwe Bendera kwa mantiki hiyo Kila mmoja wetu tulitakiwa kusmama na kutulia pasipo kutikisika.
Tulitii filimbi ile tukasimama, niliumia nilipo muona askari aliye kuwa anashusha Bendera na filimbi mdomoni akitokwa na USHUZI Tena kwa sauti kubwa kwa kweli kabla Bendera haijafika chini tulijikuta wote tunaangua kicheko,yaliyojili baada ya hapo ndugu zangu ni kipigo kwetu tulio Cheka.
Mafunzo niliyonayo Mimi hata leo nikikuta Bendera inashushwa walah hata ushuzi ukinibana siwezi jiachia mithili ya yule bwana.
Leo nimeshangaa Sanaa kuona Chombo kikubwa kama TBC1 kinatengeza keki yenye rangi ya Bendera ya Taifa na kumpelekea Mh Rais hivi Bendera mnaijua thamani yake?
Hivi sheria inasemaje ukikiuta mtu kaishusha Bendera na anaichanachana?Kuna tofauti gani na kumpa mtu keki Ili aichane chane au haikate Kate hamuumii nyiny?
Dr Ayubu kweli hii ilipitishwa nawewe?
NakupongeZa Rais kwa kukataa kukata sehemu yenye Bendera.
Kheri ya kuzaliwa mama Mh Raisi,natamani nikutumie kawimbo ka kaarabu userebuke mama.
Naomba nielezee kisa kimoja kilichowai niumiza Sanaa dhidi ya Bendera ya nchi ya Tanzania.
Siku moja nilikuwa pale osterbay polisi dar esalaam uwanjani naangalia Mpira ilipofika saa kumi na mbili ilipigwa filimbi Ili ishushwe Bendera kwa mantiki hiyo Kila mmoja wetu tulitakiwa kusmama na kutulia pasipo kutikisika.
Tulitii filimbi ile tukasimama, niliumia nilipo muona askari aliye kuwa anashusha Bendera na filimbi mdomoni akitokwa na USHUZI Tena kwa sauti kubwa kwa kweli kabla Bendera haijafika chini tulijikuta wote tunaangua kicheko,yaliyojili baada ya hapo ndugu zangu ni kipigo kwetu tulio Cheka.
Mafunzo niliyonayo Mimi hata leo nikikuta Bendera inashushwa walah hata ushuzi ukinibana siwezi jiachia mithili ya yule bwana.
Leo nimeshangaa Sanaa kuona Chombo kikubwa kama TBC1 kinatengeza keki yenye rangi ya Bendera ya Taifa na kumpelekea Mh Rais hivi Bendera mnaijua thamani yake?
Hivi sheria inasemaje ukikiuta mtu kaishusha Bendera na anaichanachana?Kuna tofauti gani na kumpa mtu keki Ili aichane chane au haikate Kate hamuumii nyiny?
Dr Ayubu kweli hii ilipitishwa nawewe?
NakupongeZa Rais kwa kukataa kukata sehemu yenye Bendera.
Kheri ya kuzaliwa mama Mh Raisi,natamani nikutumie kawimbo ka kaarabu userebuke mama.