Rais Samia, hii kauli ya kuwaruhusu Mawaziri wajipimie, wasivimbiwe itolee ufafanuzi tena

Mkisikia ^kula^ tu mnajua ni ufisadi? Najua fika kwamba utawala huu ni ponga katika suala la matumizi ya mali za umma na udhibiti wa pesa, kuliko ile ya JPM, lakini hapa Bi Mikopo anamaanisha matumizi ya mamlaka. Watendaji wake wasiingiliane na kugombana katika kutekeleza majukumu ya ^sirikali.^

Don't be so closed-minded. Anyweiz, politics inatendensi ya kukapitolaizi kwenye mambo tata na seemingly negative.
Acha kujipa upofu na kujilazimisha kuwa mpumbavu.

Samia ametoa mifano mingi jinsi miradi inavyokuwa haikamiliki kutokana na ufisadi uliopitiliza(Kula hadi kuvimbiwa) na ametoa mifano ya miradi ya meli pamoja na barabara.Halafu unadai kuwa hazungumzii ufisadi?!

Unavyojilazimisha kuwa mpumbavu unapata faida gani?
 
Hapa kuna mawili....

1. Huenda Mama anaongea kauli tata kwa kumaanisha hivyo hastahili samehewa kwa vile anakijua kiswahili fasaha vizuri.
2. Mama ni mzanzibari na kama tunavyowajua wazanzibar wanafunguka mno ktk lugha, yaani wako 'too explicit'. Huku bara huenda tusiwaelewe ila kule visiwani ni Kiswahili mujaarab. Na huenda mpaka sasa wanatushangaa sana.

MY BASIC ARGUMENT...

Tujitahidi kumzoea Mama. Tunaweza mjaji vibaya kumbe waaalaa mtoto wa kiUnguja ana nia njema kabisa.

'kujipimia' huenda kwa maadili ya ki ISLAM ni norm..accepted.

Thread posted.
Kuleni sana lakini msivimbiwe. Na kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake na muelewane, najua mnakula sana lakini kuleni taratibu.

Kweli mkuu kuna uzanzibari hapa ambao sisi wabongo hatujui kitu??

Hatarii sana aisee. Acha walio juu waendelee kuneemeka mpaka 2025 tuwape tena hadi 2030 na kuendelea na kuendelea
 
Mkuu una hasira kali. Ila watu waliosoma LINGUISTICS ....hapa watakupuuza sana.

Im not concluding..nimetoa mawazo yangu.
Na tunayaheshimu, ila mkuu wa nchi ameonyesha udhaifu wa hali ya juu kabisa. Ila nini mkuu, endelea tu kumsafisha, huenda nawe una kamba yako huko unajipimia ili usivimbiwe. One love
 
Rais Samia, jana akiongea na mawaziri aliwaambia wajipimie ila wasivimbiwe tena mbele ya TV ya umma. Nilipigwa na butwaa ila nikahisi mambo yafuatayo.

1. Rais hajui kwamba mali anazowaambia mawaziri wajipimie ni za wananchi wanao msikiliza na kwamba wananchi wanataka alinde mali zetu kama kiapo kinavyomtaka?

2. Rais anajua hawezi shitakiwa hata kama atafanya lolote; hivyo kalewa madaraka.

Ushauri kwa rais; Hii kauli itolee ufafanuzi, huku mtaani kishanuka mno.

Hata hivyo mawaziri wapiga deal wanajulikana.

VEDIO HII HAPA
Rais amelewa madaraka kwa kweli anaongea kama Bosi wa idara au mtu na familia yake nyumbani.
 
Huyo siyo Rais ni galasa tuu ,Hivi kweli unawaruhusu akina Biteko kwenye madini, Akina Kipara, n.k watu ambao hawana uchungu na nchi Jana Niliumia Sana as if nchi ni kwangu peke yangu, huyu mama alitakiwa arud kwao akaimbe taarabu anatuharibia Tanganyika yetu.,Katiba Bora inahitajika
Rais Samia, jana akiongea na mawaziri aliwaambia wajipimie ila wasivimbiwe tena mbele ya TV ya umma. Nilipigwa na butwaa ila nikahisi mambo yafuatayo.

1. Rais hajui kwamba mali anazowaambia mawaziri wajipimie ni za wananchi wanao msikiliza na kwamba wananchi wanataka alinde mali zetu kama kiapo kinavyomtaka?

2. Rais anajua hawezi shitakiwa hata kama atafanya lolote; hivyo kalewa madaraka.

Ushauri kwa rais; Hii kauli itolee ufafanuzi, huku mtaani kishanuka mno.

Hata hivyo mawaziri wapiga deal wanajulikana.

VEDIO HII HAPA
 
Nilitaka nisema heading ya uongo, ila baada ya kuona video nimeshangaa zaidi ya kushangaa, jamani, kiongozi wa namna gani huyu?!
 
Hizi ni kati ya kauli dhaifu kabisa kutamkwa na mkuu wa nchi. Madhara yake ni kuhalalisha ufisadi kwa urefu wa kamba ya mhusika. Very bad.
Alichosema ni kwamba akina Makamba na Nape wale ila wasile hadi wakashtukiwa, waibe kwa ustaarabu wasije wakavimbiwa, yaani Rais wa nchi yetu ndio katoa agizo hilo!
 
Nimesikiliza hiyo clip asubuhi kwa kweli nimestika sana, yaani huyu mama anaonekana anajua kwamba watumishi wa serikali wanajua namna anavyoiba na maelezo yake ni kwamba na yeye anajua wanaiba.

yaani Rasmi
Sifa Msingi ya magufuri ilikuwa ni Uwongo.
Ya huyu mama naona inaelekea kuwa wizi.

sijaelewa walipa kodi hawajaanza kuandamana kulazimisha aondoke madarakani ni kwanini?
 
The world is not fair aisee yaani huku kwetu cement 20,000 kutoka 14,000 nondo mm12 30,000 na vingine vingi tu vimepanda yeye anawaambia mawaziri wajipigie ila wasivimbiwe inamaanisha washibe ila wasishibe sana aisee!! Poor speech ever kutoka kwa mkuu wa nchi
 
JK on fire..hahahahaha na nasikia kaongezewa ulinzi..mama kajua haya niliyoyateua ni mabigaji na marafi ila nayaambia yasivimbiwe
 
Serikali inaongozwa na MWANADAMU na si MUNGU......


Mwanadamu huyo anawakumbusha WATENDAJI KUSIMAMIA VIAPO VYAO vifuatavyo........

1)Kutoingiliana katika majukumu ya mipaka ya kazi zao....kazi yoyote ina maslahi binafsi na Yale makuu zaidi(kutoa huduma kwa jamii)

2)Kutochafuana ,kubagazana na kufitiniana kwa kiongozi mkuu(kwenda kusema kwa mama)

Mh.SSH amefafanua vyema tu ila baadhi yetu tumeamua kufanya UPOTOSHAJI WA MAKUSUDI.....

#Siempre JMT🙏
Bila shaka fyuzi za ubongo wako zimetoka yaani speech ipo clear kabisa unatafuta kujifariji duuu...
 
Rais Samia, jana akiongea na mawaziri aliwaambia wajipimie ila wasivimbiwe tena mbele ya TV ya umma. Nilipigwa na butwaa ila nikahisi mambo yafuatayo.

1. Rais hajui kwamba mali anazowaambia mawaziri wajipimie ni za wananchi wanao msikiliza na kwamba wananchi wanataka alinde mali zetu kama kiapo kinavyomtaka?

2. Rais anajua hawezi shitakiwa hata kama atafanya lolote; hivyo kalewa madaraka.

Ushauri kwa rais; Hii kauli itolee ufafanuzi, huku mtaani kishanuka mno.

Hata hivyo mawaziri wapiga deal wanajulikana.

VEDIO HII HAPA
You know they eat and you encourage them to eat moderately? Then why should we combat corruption?
Ni ujinga kutafuta kujifariji kwa kumtaka Rais arudi aje kudanganya uma kuwa ameeleweka vibaya.Huo ni utahira.Alichosema jana ndiyo msimamo wa serikali yake.View attachment 2080239

Tunavyopiga debe hapa kila siku kuwa CCM haifai kuongoza nchi hii we mean a business folks.
You know they eat and you encourage them to eat moderately? Then why should we combat corruption?
 
Back
Top Bottom